Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Kenge wameanza kuwa wasikivuAibu tupu kila kona. Kuna wanaccm wameshaaanza kukana chama chao. Nasi tunawaona tunawabagaza tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kenge wameanza kuwa wasikivuAibu tupu kila kona. Kuna wanaccm wameshaaanza kukana chama chao. Nasi tunawaona tunawabagaza tu.
Kadri ziku zinavyosonga masikio yatavuja damu tu.Kenge wameanza kuwa wasikivu
😅😅😅hayo maji yenyewe ya kutwanga yapo?Wenyewe wanakumbia kazi iendelee sasa kazi yenyewe ni kutwanga maji kwenye lini!!!
Ikiwa hivyo masikio yatazibuka na hatimaye kusikia.Kadri ziku zinavyosonga masikio yatavuja damu tu.
Khaa! kumbe.Sisi CCM wala hatuna shida na hivyo vitu, tumebaki kulialia na mwenda zake.
Mpaka leo naipa HekoIla Corona ilitufaa sana kutuondolea lile shetani
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Inachekesha sana. Lakini ndio hali halisi
Hili joto ni laana limesababishwa na serikali iliyopita ya utekaji na uuwaji. Mungu hawezi kubariki wauwajiNamba tunaisoma kweli kweli. Kwa joto hili hata kwichi kwichi hainogi.
Kama sio nini?Mbona 2015 hadi 2020 hatukuongozwa na chama chochote na mambo yalikwenda.
Vyama vinatuchelewesha sana.
Kuvunja jengo la Tanesco ubungo ilikuwa Sera ya chama?
Kujenga lile daraja baharini salenda ilikuwa Sera ya chama?
Kuwavunjia nyumba kimara nakuwaacha wa mwanza zilikuwa Sera za chama?
Na alitala waumbuke. Maana wengi bado wako madarakani. Infact aliyeondoka ni magufuli tu the rest wamo.Hili joto ni laana limesababishwa na serikali iliyopita ya utekaji na uuwaji. Mungu hawezi kubariki wauwaji
Wajinga hao wachawi hawana roho za utu.Kama sio nini?
Kuteka na kuuwa watu wasiokuwa nahatia ilikuwa ni Sera ya nani?
Kumpinga lissu risasi na kumfukuza ubunge ilikuwa Sera ya nani?
Kufungwa kwa wabunge wa upinzani ilikuwa ni Sera ya nani
Corona imetuondolea kero
Diplomasia ya uchumi ya mama ni diplomasia ya omba omba?