Sisi tunajenga kwa pesa za ndani!

Sisi tunajenga kwa pesa za ndani!

That money is in the department of ministry of finance called CBK that is where the safes are ,we ndio mjinga maadamu uwezo wa kufikiria huna.
Kwahiyo hiyo pesa UN wanalipa moja kwa moja Serikalini sio KRA sio?. Kwahiyo sio pesa yote ya Serikali hupitia KRA or TRA.

Nenda kajifunze tena kwamba KRA &TRA ni vyombo vilivyopewa mamlaka kukusanya pesa ya Serikali na kuikabidhi serikali, pale ambapo Serikali yenyewe inakusanya pesa yake moja kwa moja, KRA & TRA haziwezi kwenda kuzichukua hizo pesa kutoka mikononi mwa serikali ili baadae wakaipelekee Serikali hiyo hiyo.

Ninyi uchumi wenu ni capitalists ndio sababu Serikali yenu haina investments sana, huku kwetu serikali ilikua na viwanda vingi sana, na ilikua ikiwekeza ktk maeneo Mbalimbali, kazi ya TRA katika investments za serikali ni kukusanya kodi tu, lakini kiwanda kikipata faida, hiyo pesa inapelekwa moja kwa moja wizara ya fedha, huko huko ambako TRA wanapekeka. Sio pesa yote ya serikali hupitia TRA/KRA.
 
That money is in the department of ministry of finance called CBK that is where the safes are ,we ndio mjinga maadamu uwezo wa kufikiria huna.

Hapo mahakama inakabidhi pesa na dhahabu moja kwa moja Treasury, kutoka mahakamani hadi Wizara ya fedha, hakuna kupitia TRA, mahaka ni miongoni mwa chanzo muhimu sana cha pesa, kila mwaka pesa nyingi sana zinapatikana kwa njia hii, na moja kwa moja zinapelejwa Wizarani, TRA haihusiki.
 
Kwahiyo hiyo pesa UN wanalipa moja kwa moja Serikalini sio KRA sio?. Kwahiyo sio pesa yote ya Serikali hupitia KRA or TRA.

Nenda kajifunze tena kwamba KRA &TRA ni vyombo vilivyopewa mamlaka kukusanya pesa ya Serikali na kuikabidhi serikali, pale ambapo Serikali yenyewe inakusanya pesa yake moja kwa moja, KRA & TRA haziwezi kwenda kuzichukua hizo pesa kutoka mikononi mwa serikali ili baadae wakaipelekee Serikali hiyo hiyo.

Ninyi uchumi wenu ni capitalists ndio sababu Serikali yenu haina investments sana, huku kwetu serikali ilikua na viwanda vingi sana, na ilikua ikiwekeza ktk maeneo Mbalimbali, kazi ya TRA katika investments za serikali ni kukusanya kodi tu, lakini kiwanda kikipata faida, hiyo pesa inapelekwa moja kwa moja wizara ya fedha, huko huko ambako TRA wanapekeka. Sio pesa yote ya serikali hupitia TRA/KRA.
Ndio nikasema huna akili, kwani KRA ni ipi na serikali ni ipi? Kulingana na wewe KRA sio serikali? Let me educate you. Government comprises of three arms ,ie Judiciary,the legislature and the Executive, Executive is made up of the president, deputy president, Cabinet secretaries,and head of civil service. KRA is under the executive which is headed by the president . Unaposema hela inalipwa Kwa serikali moja Kwa moja na sio KRA ,Hilo ni kama kujaribu kutenganisha ulimi na mate.
 

Hapo mahakama inakabidhi pesa na dhahabu moja kwa moja Treasury, kutoka mahakamani hadi Wizara ya fedha, hakuna kupitia TRA, mahaka ni miongoni mwa chanzo muhimu sana cha pesa, kila mwaka pesa nyingi sana zinapatikana kwa njia hii, na moja kwa moja zinapelejwa Wizarani, TRA haihusiki.
Wizara ni kubwa na ina idara kibao naomba unambie ni idara ipi inapokea hizo dhahabu na pesa?.
 

Hapo mahakama inakabidhi pesa na dhahabu moja kwa moja Treasury, kutoka mahakamani hadi Wizara ya fedha, hakuna kupitia TRA, mahaka ni miongoni mwa chanzo muhimu sana cha pesa, kila mwaka pesa nyingi sana zinapatikana kwa njia hii, na moja kwa moja zinapelejwa Wizarani, TRA haihusiki.
Mahakama ulipeana dhahabu na pesa zilizositafishwa wala haikukua dhamana, ingekua dhamana basi kuna utaratibu wa kufanya hivyo, Dhahabu zilipeanwa Kwa idara ya public investment and asset management,pesa zikapeanwa Kwa idara ya finance , serikali bado haijatoa kauli kuhusiana na matumizi ya hela hizo ,wakisema watazitumia Kwa bajeti ijayo basi zitawekwa upande wa revenue ambayo ni idara ya taxes/ushuru wakisema watazihifadhi basi watazipeleka Kwa benki kuu zihifadhiwe vile vile na dhahabu.
 
Mahakama ulipeana dhahabu na pesa zilizositafishwa wala haikukua dhamana, ingekua dhamana basi kuna utaratibu wa kufanya hivyo, Dhahabu zilipeanwa Kwa idara ya public investment and asset management,pesa zikapeanwa Kwa idara ya finance , serikali bado haijatoa kauli kuhusiana na matumizi ya hela hizo ,wakisema watazitumia Kwa bajeti ijayo basi zitawekwa upande wa revenue ambayo ni idara ya taxes/ushuru wakisema watazihifadhi basi watazipeleka Kwa benki kuu zihifadhiwe vile vile na dhahabu.
Wewe unakichaa?. Mimi nimekuambia serikali ina vyanzo vingi vya kupata pesa, sio zote zinazopitia TRA, katika vyanzo nilivyotaja katika post #61 ni " Mali zilizotaifishwa na mahakama. Hapo serikali imepata $12M, nje ya TRA. Wewe ulisema pesa zote lazima zipitie TRA, hapo serikali imepata Tsh 300M, na dhahabu yenye thamani ya $12M, bila kupitia TRA.

Kwa taarifa yako, mahakama za Tanzania kila mwaka zinataifisha Trillions of Tshs, na kuzikabidhi Serikalini moja kwa moja, hivyo kufanya mahakama kuwa chanzo muhimu sana cha mapato ya Serikali " next to TRA.

Soma post #61, uone vyanzo vingine vya mapato ambayo hayapitii TRA. Ninarudia tena, sio pesa yote inayoingia Serikalini lazima ipitie TRA. Hiyo dhahabu itauzwa kwa mnada wa hadhara bila kupitia TRA.
 
Wizara ni kubwa na ina idara kibao naomba unambie ni idara ipi inapokea hizo dhahabu na pesa?.
Hapo kuna pesa na dhahabu. Soma hapo waneandika, "Hazina yakabidhiwa Dhahabu na Fedha", hazina ni Treasury.
Mapato yote ya Serikali hupekekwa hazina, TRA wskikusanya, hupekeka Treasury, Mahakama zikikusanya chochote hupeleka Treasury, ATCL ikitengeneza faida kwasababu ni Mali ya serikali 100%, faida yote hupeleka hazina, Immigration wakikusanya pesa kutoka katika residence permits au passport fees wanapeleka hazina, BRT wakipata faida, 49% ya faida ni Mali ya Serikali wanapeleka Hazina. Hivi vyanzo havihusiani na TRA collection kabisa.

Ila kwa ujumla 80% ya Government revenue inatokana na Tax, ndio sababu TRA collection inatajwa sana kama chanzo cha mapato, ila kuna vyanzo vingi sana. Ukisikia Magufuli ananunua ndege ambazo haikuwa budgeted, huwa anatumia pesa zitokanazo na vyanzo hivi.
 
Hapo kuna pesa na dhahabu. Soma hapo waneandika, "Hazina yakabidhiwa Dhahabu na Fedha", hazina ni Treasury.
Mapato yote ya Serikali hupekekwa hazina, TRA wskikusanya, hupekeka Treasury, Mahakama zikikusanya chochote hupeleka Treasury, ATCL ikitengeneza faida kwasababu ni Mali ya serikali 100%, faida yote hupeleka hazina, Immigration wakikusanya pesa kutoka katika residence permits au passport fees wanapeleka hazina, BRT wakipata faida, 49% ya faida ni Mali ya Serikali wanapeleka Hazina. Hivi vyanzo havihusiani na TRA collection kabisa.

Ila kwa ujumla 80% ya Government revenue inatokana na Tax, ndio sababu TRA collection inatajwa sana kama chanzo cha mapato, ila kuna vyanzo vingi sana. Ukisikia Magufuli ananunua ndege ambazo haikuwa budgeted, huwa anatumia pesa zitokanazo na vyanzo hivi.
TRA ni ipi na serikali ni ipi? Hicho ndio nataka unijibu ,Dah! Nakwambia una matatizo ya kuelewa mwanangu.
 
TRA ni ipi na serikali ni ipi? Hicho ndio nataka unijibu ,Dah! Nakwambia una matatizo ya kuelewa mwanangu.
Ok, sasa nimeelewa wapi panapokuchanganya. Serikali ni "Rais na mawaziri". Ikulu na wizara zake". Kwenye mambo ya fedha yanayohusu mapato na matumizi ya nchi, Serikali inawakilishwa na Wizara ya Fedha. Ndani ya wizara ya fedha kuna section nyingi, ila kitengo kinachohusika moja kwa moja na kupokea pesa za serikali na kuzigawa katika Wizara kwa ajili ya matumizi nchi nzima kinaitwa " Treasurer " au Hazina.

Wizara ya fedha yenyewe (Treasurer) walikua wanakusanya kodi wenyewe moja kwa moja kwa wananchi, lakini ufanisi ulikua mdogo sana, hivyo kikaunda chombo tofauti ili kukusanya kodi kwa niaba ya Wizara ya fedha(Treasurer), ndio kuanzishwa TRA.

Jukumu la TRA ni kukusanya kodi na kupeleka Wizarani(Treasurer). Ila kuna pesa ambazo tayari ni pesa ya Serikali, kama pesa inayopatikana mahakamani, au faida inayozalishwa na mashirika ya umma, hiyo tayari ni pesa ya Serikali, TRA hawapaswi tena kwenda kuichukua, badala yake, mahakama inapeleka hiyo pesa moja kwa moja wizarani(Treasurer), kwa ajili ya kupangiwa matumizi.
 
Hapo kuna pesa na dhahabu. Soma hapo waneandika, "Hazina yakabidhiwa Dhahabu na Fedha", hazina ni Treasury.
Mapato yote ya Serikali hupekekwa hazina, TRA wskikusanya, hupekeka Treasury, Mahakama zikikusanya chochote hupeleka Treasury, ATCL ikitengeneza faida kwasababu ni Mali ya serikali 100%, faida yote hupeleka hazina, Immigration wakikusanya pesa kutoka katika residence permits au passport fees wanapeleka hazina, BRT wakipata faida, 49% ya faida ni Mali ya Serikali wanapeleka Hazina. Hivi vyanzo havihusiani na TRA collection kabisa.

Ila kwa ujumla 80% ya Government revenue inatokana na Tax, ndio sababu TRA collection inatajwa sana kama chanzo cha mapato, ila kuna vyanzo vingi sana. Ukisikia Magufuli ananunua ndege ambazo haikuwa budgeted, huwa anatumia pesa zitokanazo na vyanzo hivi.
Let me try to simplify this for you guy, I will start by defining the word revenue: Revenue is the income generated from sale of goods or services or any other use of assets, associated with the main operations of an organisation,in this case the government,and the word authority means ,the power or right to give orders,make decisions, and enforce obedience therefore let me talk about KRA, Is the central body mandated by laws to collect all government revenues.
So if you talk about ,TBS , migration department so on and so forth what they make from the service offered is not profits but revenue and the body that accounts for all government revenues is KRA or TRA , therefore after accounting for all revenues and taxes collected for a certain period of time halafu inatangazwa, Kwa sababu sheria zote za kukusanya malipo ya huduma inayotolewa na serikali KRA na wizara husika. Ila ninacho taka ujue ni kua KRA ama TRA ni sehemu ya Hazina .
 
Ok, sasa nimeelewa wapi panapokuchanganya. Serikali ni "Rais na mawaziri". Ikulu na wizara zake". Kwenye mambo ya fedha yanayohusu mapato na matumizi ya nchi, Serikali inawakilishwa na Wizara ya Fedha. Ndani ya wizara ya fedha kuna section nyingi, ila kitengo kinachohusika moja kwa moja na kupokea pesa za serikali na kuzigawa katika Wizara kwa ajili ya matumizi nchi nzima kinaitwa " Treasurer " au Hazina.

Wizara ya fedha yenyewe (Treasurer) walikua wanakusanya kodi wenyewe moja kwa moja kwa wananchi, lakini ufanisi ulikua mdogo sana, hivyo kikaunda chombo tofauti ili kukusanya kodi kwa niaba ya Wizara ya fedha(Treasurer), ndio kuanzishwa TRA.

Jukumu la TRA ni kukusanya kodi na kupeleka Wizarani(Treasurer). Ila kuna pesa ambazo tayari ni pesa ya Serikali, kama pesa inayopatikana mahakamani, au faida inayozalishwa na mashirika ya umma, hiyo tayari ni pesa ya Serikali, TRA hawapaswi tena kwenda kuichukua, badala yake, mahakama inapeleka hiyo pesa moja kwa moja wizarani(Treasurer), kwa ajili ya kupangiwa matumizi.
Vyema umejaribu kueleza Ila bado una mapungufu ,Rais na mawaziri wanaongoza sehemu mojawapo ya serikali ambayo ni ya muhimu kabisa, Katika hio serikali kuu ama executive ipo wizara ya Hazina ( treasury? Hio wizara ina idara kadhaa ndani yake Kwa mfano Kenya ,kuna department of economic affairs, department of expenditure, department of revenue, department of financial services and department of investment and public assets management. Hapa Kenya KRA ndio hio department of revenue na kazi yake kuu ni kukusanya ushuru na kuhakikisha kua mapato yote ya serikali kutoka vyanzo vingine vyote vimeleta pesa zote kwenye hazina ,hebu nikuulize swali ipo siku ushawahi ona CAG akifanya uhasibu wa dhamana ambazo zinatolewa mahakamani? Yeye anafanya uhasibu wa expenditure ya bajeti period , mbona? Kwa sababu uhasibu wa vyanzo vyote unafanywa na TRA/KRA Kwa hivyo huku kwetu lile shirika ambalo linakusanya na kufanya uhasibu mapato /revenue yote ya serikali na kuhakikisha kua mapato hayo yamepelekwa hazina kuu ni KRA ,baada ya KEBS kukusanya mapato Yao Yule ambaye ni mhasibu mkuu ni KRA baada ya Migration department kukusanya mapato Yao Yule ambaye ni mhasibu mkuu ni KRA Kwa hivyo huku kwetu haijalishi mkusanyaji wa mapato ni Nani , overall accounting officer of all government revenue income and taxes is KRA.
 
Vyema umejaribu kueleza Ila bado una mapungufu ,Rais na mawaziri wanaongoza sehemu mojawapo ya serikali ambayo ni ya muhimu kabisa, Katika hio serikali kuu ama executive ipo wizara ya Hazina ( treasury? Hio wizara ina idara kadhaa ndani yake Kwa mfano Kenya ,kuna department of economic affairs, department of expenditure, department of revenue, department of financial services and department of investment and public assets management. Hapa Kenya KRA ndio hio department of revenue na kazi yake kuu ni kukusanya ushuru na kuhakikisha kua mapato yote ya serikali kutoka vyanzo vingine vyote vimeleta pesa zote kwenye hazina ,hebu nikuulize swali ipo siku ushawahi ona CAG akifanya uhasibu wa dhamana ambazo zinatolewa mahakamani? Yeye anafanya uhasibu wa expenditure ya bajeti period , mbona? Kwa sababu uhasibu wa vyanzo vyote unafanywa na TRA/KRA Kwa hivyo huku kwetu lile shirika ambalo linakusanya na kufanya uhasibu mapato /revenue yote ya serikali na kuhakikisha kua mapato hayo yamepelekwa hazina kuu ni KRA ,baada ya KEBS kukusanya mapato Yao Yule ambaye ni mhasibu mkuu ni KRA baada ya Migration department kukusanya mapato Yao Yule ambaye ni mhasibu mkuu ni KRA Kwa hivyo huku kwetu haijalishi mkusanyaji wa mapato ni Nani , overall accounting officer of all government revenue income and taxes is KRA.
Sidhani kama upo sahihi, ninakuomba umuulize mtu aliyefanya kazi Serikalini. KRA haiwezi kuchukua pesa iliyopatikana kama faida ya mashirika ya umma.

Ngoja nikupe mfano, shirika lenu la kusambaza umeme, ninadhani kwamba 100% ni shirika la serikali, likisambaza umeme na kutengeneza faida, hiyo faida KRA hawaigusi zaidi ya kuchukua kodi tu. Hiyo faida itapelekwa moja kwa moja Treasurer, kama kuna wakenya waliofanya kazi Hazina watatusaidia.

Kwahiyo kama ATCL itatengeneza faida, TRA wataenda kuchukua kodi tu, lakini faida itaenda Treasurer moja kwa moja. Juzi Magufuli amewaambia wakurugenzi wote wa mashirika ya umma lazima wapeleke gawio Serikalini(Treasurer), atakayeshindwa atamuachisha kazi. Hata JWTZ pia ilipeleka Gawio kwa rais kutokana na miradi ya uzalishaji Mali wanayifanya jeshini.

Mimi sikuelewi unaposema "dhamana mahakamani". Hakuna dhamana mahakamani, mahakama inaingiza pesa nyingi Serikalini kwa kuwatoza watu faini kutokana na makosa Mbalimbali na kutaifisha Mali zinazokamatwa, na pesa yote hii, huingia moja kwa moja Serikalini haipitii TRA, kwahiyo haionijani katika hesabu za TRA.

Kuhusu CAG, yeye kazi yake ni kukagua vyanzo vyote vya mapato ya serikali, na kukagua Kama matumizi ya hizo pesa zinaendana na bajeti ya nchi iliyopitishwa na Bunge, yeye anaruhusiwa kukagua popote, hata Ikulu bila kipingamizi.
 
Hilo neno need lililokosekana ndio limefanya sentensi yake isieleweke au wee nambie hiyo sentensi yake inamaanisha nn?? Afu usimjudge mtu usiemjua Anko hicho kingereza ndio lugha rahisi kuliko zote nizijuazo..
Huyo Ndugu yako inaweza kuwa kakosea kutoweka hilo neno ulosema..BT mi nimeongelea sentensi niliyoisoma we unaona ipo sahihi???
Bla bla bla bla.
........bye.
 
Sidhani kama upo sahihi, ninakuomba umuulize mtu aliyefanya kazi Serikalini. KRA haiwezi kuchukua pesa iliyopatikana kama faida ya mashirika ya umma.

Ngoja nikupe mfano, shirika lenu la kusambaza umeme, ninadhani kwamba 100% ni shirika la serikali, likisambaza umeme na kutengeneza faida, hiyo faida KRA hawaigusi zaidi ya kuchukua kodi tu. Hiyo faida itapelekwa moja kwa moja Treasurer, kama kuna wakenya waliofanya kazi Hazina watatusaidia.

Kwahiyo kama ATCL itatengeneza faida, TRA wataenda kuchukua kodi tu, lakini faida itaenda Treasurer moja kwa moja. Juzi Magufuli amewaambia wakurugenzi wote wa mashirika ya umma lazima wapeleke gawio Serikalini(Treasurer), atakayeshindwa atamuachisha kazi. Hata JWTZ pia ilipeleka Gawio kwa rais kutokana na miradi ya uzalishaji Mali wanayifanya jeshini.

Mimi sikuelewi unaposema "dhamana mahakamani". Hakuna dhamana mahakamani, mahakama inaingiza pesa nyingi Serikalini kwa kuwatoza watu faini kutokana na makosa Mbalimbali na kutaifisha Mali zinazokamatwa, na pesa yote hii, huingia moja kwa moja Serikalini haipitii TRA, kwahiyo haionijani katika hesabu za TRA.

Kuhusu CAG, yeye kazi yake ni kukagua vyanzo vyote vya mapato ya serikali, na kukagua Kama matumizi ya hizo pesa zinaendana na bajeti ya nchi iliyopitishwa na Bunge, yeye anaruhusiwa kukagua popote, hata Ikulu bila kipingamizi.
Ninaposema KRA wanakusanya mapato yote ya serikali simaanishi wanachukua hizo hela na kuweka Kwa hazina Yao,pili kitu ambacho huelewi ni kua KRA ni sehemu ya Hazina ya serikali,labda huko kwenu ni tofauti ila huku kwetu ni sehemu ya Hazina ya serikali,KRA ipo chini ya waziri wa fedha . wizara ya fedha inatumia idara ya mapato ambayo ni KRA kukusanya mapato yote ya serikali ,Kplc sio shirika la serikali Kwa 100% ni public limited company Kwa hivyo serikali ina hisa tu . Mashirika yote ya kisha kusanya mapato yao yanapelekwa Kwa wizara ya fedha na Ile idara ambayo inahusika ni idara ya mapato ambayo ni KRA na ni jukumu la KRA kufanya uhasibu kuhakikisha kua mapato yote kutoka Kwa hayo mashirika yamefikishwa Kwa hiyo idara bila kutoa hata shilling moja. CAG ama auditor general kama tunavyomuita huku kwetu hafanyi uhasibu vyanzo vya mapato yanayokusanywa na mashirika ya serikali Ila anafanya uhasibu wa matumizi ya pesa za umma. Uhasibu wa vyanzo vyote vya mapato unafanywa na KRA wakati wa kukusanya mapato na hapo ndipo wanaziba mianya na kuibuka na mbinu mpya za kuongeza mapato. And I will repeat.THE CHIEF ACCOUNTING OFFICER of all government revenues and income is taxman, THE KRA NOTE am not talking about government expenditure but revenues, Expenditure is audited by auditor general or CAG as you call him.
 
Ninaposema KRA wanakusanya mapato yote ya serikali simaanishi wanachukua hizo hela na kuweka Kwa hazina Yao,pili kitu ambacho huelewi ni kua KRA ni sehemu ya Hazina ya serikali,labda huko kwenu ni tofauti ila huku kwetu ni sehemu ya Hazina ya serikali,KRA ipo chini ya waziri wa fedha . wizara ya fedha inatumia idara ya mapato ambayo ni KRA kukusanya mapato yote ya serikali ,Kplc sio shirika la serikali Kwa 100% ni public limited company Kwa hivyo serikali ina hisa tu . Mashirika yote ya kisha kusanya mapato yao yanapelekwa Kwa wizara ya fedha na Ile idara ambayo inahusika ni idara ya mapato ambayo ni KRA na ni jukumu la KRA kufanya uhasibu kuhakikisha kua mapato yote kutoka Kwa hayo mashirika yamefikishwa Kwa hiyo idara bila kutoa hata shilling moja. CAG ama auditor general kama tunavyomuita huku kwetu hafanyi uhasibu vyanzo vya mapato yanayokusanywa na mashirika ya serikali Ila anafanya uhasibu wa matumizi ya pesa za umma. Uhasibu wa vyanzo vyote vya mapato unafanywa na KRA wakati wa kukusanya mapato na hapo ndipo wanaziba mianya na kuibuka na mbinu mpya za kuongeza mapato. And I will repeat.THE CHIEF ACCOUNTING OFFICER of all government revenues and income is taxman, THE KRA NOTE am not talking about government expenditure but revenues, Expenditure is audited by auditor general or CAG as you call him.
Kwahiyo MAHAKAMA ikitaifisha Mali kama ilivyotokea huku Tanzania, hiyo Mali huko Kenya inakabidhiwa KRA sio?
 
Ninaposema KRA wanakusanya mapato yote ya serikali simaanishi wanachukua hizo hela na kuweka Kwa hazina Yao,pili kitu ambacho huelewi ni kua KRA ni sehemu ya Hazina ya serikali,labda huko kwenu ni tofauti ila huku kwetu ni sehemu ya Hazina ya serikali,KRA ipo chini ya waziri wa fedha . wizara ya fedha inatumia idara ya mapato ambayo ni KRA kukusanya mapato yote ya serikali ,Kplc sio shirika la serikali Kwa 100% ni public limited company Kwa hivyo serikali ina hisa tu . Mashirika yote ya kisha kusanya mapato yao yanapelekwa Kwa wizara ya fedha na Ile idara ambayo inahusika ni idara ya mapato ambayo ni KRA na ni jukumu la KRA kufanya uhasibu kuhakikisha kua mapato yote kutoka Kwa hayo mashirika yamefikishwa Kwa hiyo idara bila kutoa hata shilling moja. CAG ama auditor general kama tunavyomuita huku kwetu hafanyi uhasibu vyanzo vya mapato yanayokusanywa na mashirika ya serikali Ila anafanya uhasibu wa matumizi ya pesa za umma. Uhasibu wa vyanzo vyote vya mapato unafanywa na KRA wakati wa kukusanya mapato na hapo ndipo wanaziba mianya na kuibuka na mbinu mpya za kuongeza mapato. And I will repeat.THE CHIEF ACCOUNTING OFFICER of all government revenues and income is taxman, THE KRA NOTE am not talking about government expenditure but revenues, Expenditure is audited by auditor general or CAG as you call him.
Kwahiyo MAHAKAMA ikitaifisha Mali kama ilivyotokea huku Tanzania, hiyo Mali huko Kenya inakabidhiwa KRA sio?
 
Ninaposema KRA wanakusanya mapato yote ya serikali simaanishi wanachukua hizo hela na kuweka Kwa hazina Yao,pili kitu ambacho huelewi ni kua KRA ni sehemu ya Hazina ya serikali,labda huko kwenu ni tofauti ila huku kwetu ni sehemu ya Hazina ya serikali,KRA ipo chini ya waziri wa fedha . wizara ya fedha inatumia idara ya mapato ambayo ni KRA kukusanya mapato yote ya serikali ,Kplc sio shirika la serikali Kwa 100% ni public limited company Kwa hivyo serikali ina hisa tu . Mashirika yote ya kisha kusanya mapato yao yanapelekwa Kwa wizara ya fedha na Ile idara ambayo inahusika ni idara ya mapato ambayo ni KRA na ni jukumu la KRA kufanya uhasibu kuhakikisha kua mapato yote kutoka Kwa hayo mashirika yamefikishwa Kwa hiyo idara bila kutoa hata shilling moja. CAG ama auditor general kama tunavyomuita huku kwetu hafanyi uhasibu vyanzo vya mapato yanayokusanywa na mashirika ya serikali Ila anafanya uhasibu wa matumizi ya pesa za umma. Uhasibu wa vyanzo vyote vya mapato unafanywa na KRA wakati wa kukusanya mapato na hapo ndipo wanaziba mianya na kuibuka na mbinu mpya za kuongeza mapato. And I will repeat.THE CHIEF ACCOUNTING OFFICER of all government revenues and income is taxman, THE KRA NOTE am not talking about government expenditure but revenues, Expenditure is audited by auditor general or CAG as you call him.
Kwahiyo MAHAKAMA ikitaifisha Mali kama ilivyotokea huku Tanzania, hiyo Mali huko Kenya inakabidhiwa KRA sio?
 
Kwahiyo MAHAKAMA ikitaifisha Mali kama ilivyotokea huku Tanzania, hiyo Mali huko Kenya inakabidhiwa KRA sio?
Natumai umenielewa sasa,kipo kipindi unakua good boy Ila kipo kipindi unazingua . Mahakama ikitaifisha Mali kama ilivyo tokea Tanzania,Kwa mfano dhahabu zinakabidhiwa idara ya uwekezaji na usimamizi wa Mali ya Umma ( department of investment and public asset management? Ila pesa zitakabidhiwa idara ya mapato ( department of revenue and in this case it happened to the KRA.
 
Natumai umenielewa sasa,kipo kipindi unakua good boy Ila kipo kipindi unazingua . Mahakama ikitaifisha Mali kama ilivyo tokea Tanzania,Kwa mfano dhahabu zinakabidhiwa idara ya uwekezaji na usimamizi wa Mali ya Umma ( department of investment and public asset management? Ila pesa zitakabidhiwa idara ya mapato ( department of revenue and in this case it happened to the KRA.
Kwa hili Nina wasiwasi na wewe, sina uhakika kama ni kweli. Mkikuyu akili timamu inaonekana alishafanya kazi katika sehemu hizi, ninaomba anithibitishie juu ya hilo.

Sasa huku kwetu ni tofauti, kama ulivyoona, MAHAKAMA imekabidhi dhahabu na pesa zote kwa wizara(Treasurer), hakuna hata mtu mmoja toka TRA, hii maana yake hizo pesa hazitoonekana katika vitabu vya TRA, badala yake zitaoneka katika vitabu vya Treasurer tu. Hii ni kukuthibitishia kwamba, sio pesa yote inayoingia Serikalini inapitia TRA.
 
Natumai umenielewa sasa,kipo kipindi unakua good boy Ila kipo kipindi unazingua . Mahakama ikitaifisha Mali kama ilivyo tokea Tanzania,Kwa mfano dhahabu zinakabidhiwa idara ya uwekezaji na usimamizi wa Mali ya Umma ( department of investment and public asset management? Ila pesa zitakabidhiwa idara ya mapato ( department of revenue and in this case it happened to the KRA.

Huu ni mfano mwengine kukuonyesha kwamba, MAHAKAMA ikishakamata na kufilisi Mali, inawasiliana moja kwa moja na section husika katika wizara ya fedha, sio TRA, kwa mfano hizi NYUMBA wakiamua kuziuza, zitauzwa na hicho kitendo husika na pesa itaenda Treasury moja kwa moja bila kupitia TRA, hizo pesa hazitoonekana katika vitabu vya TRA.
 
Kwa hili Nina wasiwasi na wewe, sina uhakika kama ni kweli. Mkikuyu akili timamu inaonekana alishafanya kazi katika sehemu hizi, ninaomba anithibitishie juu ya hilo.

Sasa huku kwetu ni tofauti, kama ulivyoona, MAHAKAMA imekabidhi dhahabu na pesa zote kwa wizara(Treasurer), hakuna hata mtu mmoja toka TRA, hii maana yake hizo pesa hazitoonekana katika vitabu vya TRA, badala yake zitaoneka katika vitabu vya Treasurer tu. Hii ni kukuthibitishia kwamba, sio pesa yote inayoingia Serikalini inapitia TRA.
Akili timamu hawezi kufanya kazi katika hazina ya Kenya, hebu nambie treasurer inafanyaje kazi yake ?sijui huko kwenu inakuaje labda hamna hizo idara ambazo nakwambia ila hapa Kenya hali ndio hio ,Mali ambayo imetaifishwa na ikapewa wizara ya fedha inakua chini ya department of investment and public asset management.
 

Huu ni mfano mwengine kukuonyesha kwamba, MAHAKAMA ikishakamata na kufilisi Mali, inawasiliana moja kwa moja na section husika katika wizara ya fedha, sio TRA, kwa mfano hizi NYUMBA wakiamua kuziuza, zitauzwa na hicho kitendo husika na pesa itaenda Treasury moja kwa moja bila kupitia TRA, hizo pesa hazitoonekana katika vitabu vya TRA.
Hio section husika katika wizara ya fedha Ndio ipi? Hebu itaje. Huku kwetu nimekwambia idara husika inaitwa department of revenue ambayo ni KRA.
 
Back
Top Bottom