Sisi Utopolo tumeshinda ila hatuna raha

Sisi Utopolo tumeshinda ila hatuna raha

Nikikwambia mpira hujui huwa unabisha, sasa angalia ulichoandika.

umeonesha kuwa madhaifu ya Marumo Gallants hadi kupelekewa kufungwa ni kutaka kushambulia ili wapate magoli. Sasa embu fikiria kwao je watapaki bus ili wasifungwe? Au watashambilia kama walivyofanya hapa na kupelekea kufungwa tena huko huko kwao?
HUNA AKILI
 
Screenshot_20230510_220220_Lite.jpg
Screenshot_20230510_220220_Lite.jpg
 
Maana si kwa pira lile tulilopigiwa, tunaamini kabisa kule south tunaenda kukamilisha ratiba tu.

Kinachokwenda kuiua Yanga kule south ni hivi hapa chini...

1. Game plan yao, ukiwaangalia vizuri jamaa waliamua kulinda wasiruhusu magoli ugenini kwa kumiliki mpira na waliweza kufanya hivyo katika kipindi cha kwanza,kilichowaponza ni kuona kuwa wanawamudu yanga hivyo kuamua kushambulia zaidi ili wapate angalau magoli ugenini ili kazi iwe rahisi nyumbani ...matokeo yake BOOOOOOOMMMM

2. Kadi za njano za BANGALA, AUCHO na JOB zitapelekea utopolo wacheze kwa uangalifu sana katika game itakayopigwa south maana kuna uwezekano wa kupatikana kwa red card kutokana na aina ya soka lao hao jamaa wanamiliki sana mpira na ni maballdancer[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

3. Morrison ni wa hapahapa havuki boda [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Utabiri wangu game itaisha kwa aggregate ya Yanga 2 MALUMO GARRANTS 4.

TWENZETU KWA MADIBA.......View attachment 2617031
Lazima uchanganyikiwe huku Simba inakuvuruga,Arsenal inakutibua utakuwa chizi msimu huu ukifaya masihala.
 
Nikikwambia mpira hujui huwa unabisha, sasa angalia ulichoandika.

umeonesha kuwa madhaifu ya Marumo Gallants hadi kupelekewa kufungwa ni kutaka kushambulia ili wapate magoli. Sasa embu fikiria kwao je watapaki bus ili wasifungwe? Au watashambilia kama walivyofanya hapa na kupelekea kufungwa tena huko huko kwao?
Mkuu muda wa kumjibu uyo mbumbumbu unaupatia wapi, unapoteza bure muda wako kumjibu uyo boya, Malumo watapigwa tena uko uko kwao kwakuwa wataenda kufunguka na hapo ndio watakiona cha moto
 
Maana si kwa pira lile tulilopigiwa, tunaamini kabisa kule south tunaenda kukamilisha ratiba tu.

Kinachokwenda kuiua Yanga kule south ni hivi hapa chini...

1. Game plan yao, ukiwaangalia vizuri jamaa waliamua kulinda wasiruhusu magoli ugenini kwa kumiliki mpira na waliweza kufanya hivyo katika kipindi cha kwanza,kilichowaponza ni kuona kuwa wanawamudu yanga hivyo kuamua kushambulia zaidi ili wapate angalau magoli ugenini ili kazi iwe rahisi nyumbani ...matokeo yake BOOOOOOOMMMM

2. Kadi za njano za BANGALA, AUCHO na JOB zitapelekea utopolo wacheze kwa uangalifu sana katika game itakayopigwa south maana kuna uwezekano wa kupatikana kwa red card kutokana na aina ya soka lao hao jamaa wanamiliki sana mpira na ni maballdancer[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

3. Morrison ni wa hapahapa havuki boda [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Utabiri wangu game itaisha kwa aggregate ya Yanga 2 MALUMO GARRANTS 4.

TWENZETU KWA MADIBA.......View attachment 2617031
Huwezi kuwa yanga wewe,mzee kinauma??kichomoe
 
Mimi nlijua mtoa mada ni kidume kumbe ni binti! Binti punguza hasira na makasiriko, ukiwa unashabikia hz team za kariakoo jitahidi kubalance mahaba yasikufanye u-generate chuki Kwa hasimu la sivyo Simba watacheza ukiwa ukumbini/Banda umiza
 
Maana si kwa pira lile tulilopigiwa, tunaamini kabisa kule south tunaenda kukamilisha ratiba tu.

Kinachokwenda kuiua Yanga kule south ni hivi hapa chini...

1. Game plan yao, ukiwaangalia vizuri jamaa waliamua kulinda wasiruhusu magoli ugenini kwa kumiliki mpira na waliweza kufanya hivyo katika kipindi cha kwanza,kilichowaponza ni kuona kuwa wanawamudu yanga hivyo kuamua kushambulia zaidi ili wapate angalau magoli ugenini ili kazi iwe rahisi nyumbani ...matokeo yake BOOOOOOOMMMM

2. Kadi za njano za BANGALA, AUCHO na JOB zitapelekea utopolo wacheze kwa uangalifu sana katika game itakayopigwa south maana kuna uwezekano wa kupatikana kwa red card kutokana na aina ya soka lao hao jamaa wanamiliki sana mpira na ni maballdancer[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

3. Morrison ni wa hapahapa havuki boda [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Utabiri wangu game itaisha kwa aggregate ya Yanga 2 MALUMO GARRANTS 4.

TWENZETU KWA MADIBA.......View attachment 2617031
Wewe na yule Popoma mwenzako, mnastahili kabisa kupuuzwa. Maana mpaka muda huu mnatapatapa tu.
 
Sisi sio makolo mna bana tako nyumbani afu ugenini mna liachia .mta baki na slogan yenu ya kwa mkapa hatoki mtu ila mki vuka border ni vichapo tu .sisi popote ulipo tuna kuchapa
 
Mkuu muda wa kumjibu uyo mbumbumbu unaupatia wapi, unapoteza bure muda wako kumjibu uyo boya, Malumo watapigwa tena uko uko kwao kwakuwa wataenda kufunguka na hapo ndio watakiona cha moto
Unawashwa???
 
Sisi sio makolo mna bana tako nyumbani afu ugenini mna liachia .mta baki na slogan yenu ya kwa mkapa hatoki mtu ila mki vuka border ni vichapo tu .sisi popote ulipo tuna kuchapa
Mnacheza kombe gani kwani?

Kama ni luzaz achana nalo hilo wanashiriki vilaza
 
Back
Top Bottom