Sisi Waafrika historia yetu iko wapo kabla ya ujio wa Wamisionari na Waarabu?

Sisi Waafrika historia yetu iko wapo kabla ya ujio wa Wamisionari na Waarabu?

PLATO_

Senior Member
Joined
Jan 25, 2020
Posts
116
Reaction score
230
Leo nimekaa nimetafakari sana bila kupata jibu, Samahani kwa Tafakuri yangu kama nitaudhi imani za watu wengine basi naombeni mnisamehe sana.

"Waungwana mbona Wazungu wao wanahistoria nzuri sana kuanzia kwenye vitabu vya dini mpaka historia za watu wa kale kama Akina Zius, Pericles Aristotle,Plato, Miji mizuri ya kale kama Greece na mengineyo,

Siisi Waafrika historia yetu wapi? Maana vitabu vya dini vyote characters wake wote ni wazungu na Waarabu akina Petro, Mussa, Muhammad.

Huwezi kuta Kuta Mzee Mwakamoto kwenye Blible au Mzee Mwambuchi kwenye Quran kwanza ataandikwaje?😂😂(Jokes)

Imagine jina Pilato au Yuda lilivokuwa baya na walifanya mabaya pia humo kwenye Bible Je jina Makonda lingeandikwa kwenye bibles unahisi lingezungumziwaje?😂😂 (jokes)

Ukiachana na kingdom maarufu kuwahi kuwepo Afrika kama Zulu empire, Hehe kingdom baada ya ujio wa wakoloni na dini zao sisi tulitoka wapi Waafrika?

Ni kweli sisi tulitokana na nyani au udongo?

Wazungu na waarabu wamefanikiwaje kuiharibu historia yetu mpaka leo?

Chakushangaza Watu wenye asili ya uchina, nazungumzia wachina wenyewe, (wakorea, Japan, Philippines) Wahindi etc. Wana historia yao na dini zao, hata vitabu vya dini hawapo kwenye uhusika.

Naona kabisa kuna kitu hakipo sawa hapa Jamani what we use to worship before ukristo na uislamu?

Ukristo: Ukristo uliingia Afrika katika karne ya kwanza AD, hasa kupitia uenezaji wa dini hiyo na wamisionari wa mapema. Kwa mfano, Ukristo ulifikia Misri karibu na mwisho wa karne ya kwanza, na kuanzia hapo ukasambaa kwa kasi katika eneo la Afrika Kaskazini. Katika Afrika Mashariki, kama Tanzania, Ukristo ulianzishwa na wamisionari wa Shirika la Mt. Agostino kutoka Ureno walioongozana na Vasco da Gama mwaka 1499 hadi Zanzibar

Uislamu: Uislamu uliingia Afrika Magharibi kupitia misafara ya wafanyabiashara tangu karne ya 8 AD kutoka Bara Arab, India, Asia na Ghuba kuja Pwani ya Afrika Mashariki. Kufikia karne ya 9 AD, Uislamu ulikuwa umeenea zaidi katika eneo hilo, hasa kupitia biashara na uanzishwaji wa himaya. Kwa upande wa Afrika Mashariki, ushahidi wa uwepo wa awali wa Uislamu ni uanzishwaji wa misikiti katika kisiwa cha Shanga na Pate kwenye machimbo ya dhahabu, fedha na shaba ambapo sarafu zake ziliokotwa zenye tarehe za kuanzia 830 AD

Uko before Christ ilikuwaje jaman?
 
Africa Tradition was wiped away and Africans were taught to believe that anything tradition means Evil.

Biblia na Quran ni takataka tu.

Waafrika wanapaswa kuachana na hekaya hizi zisizo na kichwa wala miguu.

Ni muda wa waafrika kuamka.
 
Leo nimekaa nimetafakari sana bila kupata jibu, sijui ndo Bangi zenyewe! anyway

"Waungwana mbona Wazungu wao wanahistoria nzuri sana kuanzia kwenye vitabu vya dini mpaka historia za watu wa kale kama Akina Zius, Pericles Aristotle,Plato, Miji mizuri ya kale kama Greece na mengineyo,

Siisi Waafrika historia yetu wapi? Maana vitabu vya dini vyote characters wake wote ni wazungu na Waarabu akina Petro, Mussa, Muhammad.

Huwezi kuta Mwakamoto kwenye Blible au Mzee Nyange kwenye Quran kwanza ataandikwaje?😂😂
Imagine jina Pilato au Yuda lilivokuwa baya na walifanya mabaya pia humo kwenye Bible Je jina Makonda lingeandikwa kwenye bibles unahisi lingezungumziwaje?😂😂 (jokes)

Ukiachana na kingdom maarufu kuwahi kuwepo Afrika kama Zulu empire, Hehe kingdom baada ya ujio wa wakoloni na dini zao sisi tulitoka wapi Waafrika?

Ni kweli sisi tulitokana na nyani au udongo?

Wazungu na waarabu wamefanikiwaje kuiharibu historia yetu mpaka leo?

Chakushangaza Watu wenye asili ya uchina, nazungumzia wachina wenyewe, (wakorea, Japan, Philippines) Wahindi etc. Wana historia yao na dini zao, hata vitabu vya dini hawapo kwenye uhusika.

Naona kabisa kuna kitu hakipo sawa hapa Jamani au niache Bangi?😂😂(Jokes)
Ukristo ulikuwepo Africa miaka mingi sana hata kabla ya ukoloni. Kama unakumbuka, kuna tarishi mmoja wa ethiopia alihubiriwa na FILIPO akabatizwa akaleta ukristo huo Ethiopia, inasemekana nchi hiyo ilikuja kubadilishwa kuwa ya kikristo kwa miaka mingi tu, though lipo kabila pia liliamini dini ya kiyahudi, wale walioishi nayo tangu enzi za suleiman kabla hata ya Yesu. hivyo ukristo umesambazwa tu na wakoloni, ila hata kabla ya ukoloni ukristo ulikuwepo africa.
 
Wala sio bangi mkuu, una hoja na lazima ijibiwe ingawa umeifanya kiutani zaidi
Waafrika tulikuwa na maisha yetu kama wao walivyokuwa na maisha yao

Na baada ya wazungu kuja kama Leopod || wa Belgium mwaka 1908 alipouwa waafrika zaidi ya milioni 10 na wengine kukatwa mikono

Kumbuka walichoma vijiji na kuteketeza historia zao zote walizokuwa nazo

Hiyo ya mfalme wa Belgium sio miaka mingi sana ila utumwa ndio ulikuwa mbaya zaidi maana wazungu walipoanza kuhamia America ndio ikabidi watafute wakulima wakawalimie mashamba ya chakula huko hivyo wakaanza kuchukua waafrika mameli na mameli na inasadikiwa waliwachukua zaidi ya waafrika milioni 11

Waliofika walifika waliougua walitupwa baharini au njiani
Hata huko America pia walikiwepo watu kabla ya wazungu ( Red Indians) walikuwa na mila zao, desturi zao na hata miungu yao
Mpaka leo miji mingi America yana majina ya zamani ya wahindi wekundu ila waliteketeza mila zao zote na kuwauwa sana

Kwa kweli tulikuwa na mila nyingi ila waliharibu na kuuwa kila kitu hata historia zetu walizificha
Waliopelekwa America na majina walibadilishiwa na hata kuchanganywa wasielewane
 
Kuna kitabu cha ramani za kale(atlas) za wazungu kinaitwa Peruplus of the ethrean sea. Kinatambua nchi nyingi. Hata Tanzania walisafiri na kuukuta mji unaitwa Raphta na Azania
 
Si kwamba kuna ulazima wa waafrika kutajwa na vitabu vya watu weupe, bali hizo hadithi za biblia&quran ni maisha na tamaduni za jamii ktk eneo fulani na si dunia nzima, elewa hapa, dini ni utamaduni na njia ya utawala wa siasa ya kiimani katika eneo fulani na si dunia nzima.

Sasa ikawaje hizi imani mbili zikatoka kuongelea tamaduni za maeneo yao na kuinclude dunia nzima?

Jibu [emoji117] pale watu weupe wazungu&waarabu walipoanza kutanua ushawishi na utawala duniani walitumia sheria zao, tamaduni zao na ushawishi wao kueneza sifa zao kwa jamii za mbali ili iwe rahisi wao kuaminika, pia kuteka akili na imani za watu wasiofuata tamaduni zao kwa kuwaaminisha tamaduni zao na background ya jamii zao ndio bora zaidi.

Ukristo kabla ya kuja Afrika haukuwa huu ukristo wa leo, bali ilikuwa imani ya umizimu ya wagiriki ambapo nao imani yao waliupdate kuja kwa warumi ambao nao waliupdate hiyo imani kwa kuleta imani mpya ya ukatolic ambayo imani hii waliupdate ili iendane na mazingira ya kila jamii na kila tamaduni kwa kuhusianisha na stories za kale za kila jamii,

Mfano kila jamii hapa duniani inaamini kuna mkombozi fulani aliyekuwepo duniani na alizaliwa bila baba na alifanya miujiza mingi pia alikuwa na sifa za nusu uungu/umizimu/nusu uungu storie hii ipo kwanzia kwa wahindi, wachina, waarabu, wazungu, mpaka Misri (Afrika) ipo storie ya aina hii hii inayofanana na kila jamii hapa dunian,

Hivyo basi baada ya warumi kuusoma huu mchezo walikusanya storie hii kutoka kwa kila jamii na kuunda stori moja ya huyo mkombozi Mungu mtu na kumuunda kiumbe mmoja ambaye wakamfananisha na jamii yao, muonekano wa jamii yao na kumpa umiliki wa majina na storie za jamii yao na ndipo wakaunda ukamilifu wa hiyo storie ya Yeshua/Jesus/Yesu ambayo story hii kila jamii kwakua ina background ya masimulizi ya uwepo wa mkombozi mwenye kufanania na stories za huyu Yesu basi jamii zinaconclude na kuamini kuwa mkombozi huyo ndiye huyo Yesu/jesus.

Na hata Afrika stories za mkombozi zipo nyingi sana ambazo nyingi zimebase katika imani za misri ya zama za kale za watu weusi,

Sasa baada ya warumi/wakatolic kuunda hiyo story kamili ya yesu ambayo ni mkusanyiko wa masimulizi kutoka kila jamii hapa dunian basi walipachika hiyo storie katika vitabu mbalimbali vya dini yao pia hata katika dini yao ya mwisho ya uislam nako huko kuna hii story.

Kiufupi tu wazungu walituwin kwa kukusanya mazuri ya hadithi zao na kutuaminisha kuwa hao wahusika wa hizo stories walikuwa watu wa jamii zao na maeneo yao kumbe si kweli.

Ukitaka kujua uongo wa hizi dini jiulize kama sisi waafrika tumetoka ktk uzao wa Adamu je ilikuwajekuwaje mtu mweupe amzae mtu mweusi? Yaani huyo Nuhu baba wa races mbalimbali duniani ambaye ni mzungu azae mtu mweusi inawezekanaje?? Hii hata kwa muujiza wala bahati mbaya haliwezekani maana mtu mweusi na mweupe ni viumbe tofauti kabisa kuanzia kibaolojia mpaka kiutu na kiungu hawa ni viumbe wawili tofauti (hili jambo hutawai sikia kutoka kwa wachungaji/mashekhe).

Kiufupi tu biblia&quran si vitabu vitakatifu wala si vitabu vya kihistoria bali ni vitabu vya kihuni vilivyotungwa kwa kuungaunga stories na kuibaiba mafundisho ya imani za jamii mbalimbali na kuyaunganisha pamoja na kuunda UONGO MTAKATIFU uku uongo huo wakiuvuvia na nguvu za Kimizimu ambazo ndizo hizo hutumika katika ibada na swala, pia miujiza feki na hisia za kujiona mwema na kuipenda imani hiyo.

Jiulize, kihistoria dunia ina maelfu ya miaka na jamii mbalimbali zimekuwepo kwa maelfu ya miaka je kwanini quran+bible matukio yao hayazidi miaka 7000 pekee? Je kwanini matukio yaliyokuwepo miaka 50,000 hayatajwi na hivyo vitabu? Jibu ni moja tu hao waanzilishi wa hizo dini waliiba storie zoote zilizotokea miaka maelfu kabla yao na kuunda stories za dini zao.

Uhalisia uko hivi, mtu mweusi ndie kiumbe pekee aliyeishi miaka maelfu kwa maelfu kabla ya ujio wa anguko la hawa aliens watu weupe, lakini maajabu historia na vitabu vya dini havielezi haya mambo ili kuficha uovu wao.

Hawa aliens(watu weupe) ndio chimbuko la maovu na ushenzi mkubwa sana hapa duniani maana kabla ya ujio wao dunia ilikuwa sehemu salama na takatifu, ukweli wa mambo baada ya Dunia kuwa chini ya utawala wa Baba wa hawa Aliens(SHETANI) vitabu vyenu vya dini vinamuita MUNGU huyu jamaa kupitia watoto wake watu weupe kaupindua ulimwengu juu chini, chini juu, yaani kila kitu hapa duniani ni uongo, kuanzia Elimu,siasa,history, uchumi na kila kitu ni uongo mtupu tunaishi ktk uongo mkubwa.

Bahati mbaya waafrika wavivu wa kusoma na kufuatilia mambo wanaishia kubishabisha viti wasivyovijua kwa kujihisi kila wanaloliamini na kulijua ndilo sahihi kumbe si kweli

Bahati nzuri haya mambo yanajulikana tayari na wengi wameshajua dunia iko vipi ndiomaana wajanja tulishaachana na hizo takataka za kidini, na kwa Uhuru huu wa mitandao ya kijamii tutegemee jamii ya watu weusi kupata habari ambazo kiuhalisia si rahisi kuzipata na mengi yameshaanza kujulikana
Ni ngumu kumuamini muafrika mwenzako basi amini hata haya maneno ya hawa watu wazito duniani ambao wanaijua dunia zaidi ya ninyi wajinga wachache mnaopenda kubisha kila jambo.

[emoji117]Pitia hizo links kwa muda wako ewe kiumbe mjuaji na mbishi[emoji116]


View: https://vm.tiktok.com/ZMMEyGBs1/

View: https://vm.tiktok.com/ZMMEyPWja/




Wake up guys
 
Mimi mwenyewe huwa najiuliza sana, kwamba kile kipindi cha Yesu, hapa Mlowo Mbozi sijui palikuwa panaendeleaje?
Kwanza Mlowo haikuwepo. Hapakuwa na jina ila palikuwa pamejaa misitu tu ndege, nyoka na chipanzee...na inawezekana wakati huo ukoo wenu upo Congo au Zimbabwe

Pia hamkuwa mkivaa nguo, zaidi ya kujifunika kidogo nyuchi kwa majani na mlikuwa mkijisaidia hovyohovyo kila mahala kama nyani tu
 
Leo nimekaa nimetafakari sana bila kupata jibu, sijui ndo Bangi zenyewe! anyway

"Waungwana mbona Wazungu wao wanahistoria nzuri sana kuanzia kwenye vitabu vya dini mpaka historia za watu wa kale kama Akina Zius, Pericles Aristotle,Plato, Miji mizuri ya kale kama Greece na mengineyo,

Siisi Waafrika historia yetu wapi? Maana vitabu vya dini vyote characters wake wote ni wazungu na Waarabu akina Petro, Mussa, Muhammad.

Huwezi kuta Mwakamoto kwenye Blible au Mzee Nyange kwenye Quran kwanza ataandikwaje?😂😂
Imagine jina Pilato au Yuda lilivokuwa baya na walifanya mabaya pia humo kwenye Bible Je jina Makonda lingeandikwa kwenye bibles unahisi lingezungumziwaje?😂😂 (jokes)

Ukiachana na kingdom maarufu kuwahi kuwepo Afrika kama Zulu empire, Hehe kingdom baada ya ujio wa wakoloni na dini zao sisi tulitoka wapi Waafrika?

Ni kweli sisi tulitokana na nyani au udongo?

Wazungu na waarabu wamefanikiwaje kuiharibu historia yetu mpaka leo?

Chakushangaza Watu wenye asili ya uchina, nazungumzia wachina wenyewe, (wakorea, Japan, Philippines) Wahindi etc. Wana historia yao na dini zao, hata vitabu vya dini hawapo kwenye uhusika.

Naona kabisa kuna kitu hakipo sawa hapa Jamani au niache Bangi?😂😂(Jokes)
1.Mzungu ameku-brain wash na kuamini kuwa hatuna hiatoria kama waafrica.

Sijui elimu yako lakini nafikiri kama umesoma kidogo walau kufikia advanced level (form 5 & 6)

Ukweli huu umewekwa wazi kidogo.

Katika view ya African history, mtazamo wa AFRO-CENTRIC VIEW umeweka wazi kuwa tulikuwa na vitu vyetu hata kabla ya mzungu/mwarabu kuja Africa.

Tulikuwa na empires strong kabisa, mfano MALI EMPIRE chini ya MANSA KAN KAN MUSA ilikuwa ni kuogopwa kabisa.

Na mpaka sasa rekodi ya mtu tajiri zaidi kuwahi kutokea duniani inashikiliwa na mtu mweusi ambaye ni MANSA NKAN NKAN MUSA ukiachana na Suleiman wa biblia ambaye hakuna ushahidi kuwa alikuwa tajiri kweli.

Tulikuwa na vyuo vikuu kabla hata mzungu kuja, mfano TIMBUKTU UNIVERSITY, ELEXANDRIA UNIVERSITY (MISRI) ambalo hadi mwanafalsapha wa kigiriki PLATO aliwahi kusoma pale.

Alafu nani alikudanganya kuwa Adam na Hawa walikuwa Wazungu au weupe ?

Nani amekudanganya kuwa Yesu alikuwa mweupe ?

Simoni mkirene wa kwenye biblia aliyemsaidia Yesu kubeba msalaba kipindi cha kusulubiwa mbona alikuwa mweusi ?

Ushahidi wote wa kisayansi unaonesha kuwa binadamu wa kwanza alikuwa mweusi, mafuvu yote ya binadamu wa kale zaidi yamegunduliwa Africa kwenye nchi kama Tanzani, ethiopia, sudan,zimbabwe, south africa n.k

Hakuna cha ulaya, asia wala america.


Mleta maada una matatizo makuu mawili ambayo ni :

1. Hujui historia ya africa kwa undani, na hii ni kwa sababu ya utandawazi na kupendelea uzungu labda.

2.Akili yako imekuwa brain washed kabisa na Mzungu na kukufanya uamini uwongo wao.

Na ndiyo maana unaamini kila waliotajwa kwenye biblia walikuwa na ngozi nyeupe/mzungu.

HIstoria inaonesha hata sisi africa.tulikuwa na dini kabla ya mzungu kuleta yake, na ushahidi unaonesha kule ETHIOPIA tulikuwa na makanisa hata kabla ya mzungu au mwarabu kuleta dini yake.

Mzungu akiwa anachora picha ya malaika huonesha kwa picha yake ya kizungu (mweupe pee kama yeye mzungu) ila akiwa anachora picha ya shetani anamchora akiwa mweusi amechomeka kama gogo la mkaa (yaani anafanana na sisi wa africa), then na wewe kwa uwongo huo ukaamini shetani ni mweusi alafu ndiyo weupe.

Kuna rais mmoja wa misri (ABEID NASSER) aliwahi kuwaambia wayahudi kuwa "hamuwezi kuishi kwa amani hapa (israel) kwa sababu mllondoka hapa mkiwa weusi na mmerudi mkiwa weupe"

Hapa alimaanisha kwamba hata wayahudi halisi waliokuwa wakiishi hapo Israel walikuwa ni weusi, imekuwaje hawa wamerudi waupe (wazungu) kama siyo tu wakoloni ?
 
Ukristo ulikuwepo Africa miaka mingi sana hata kabla ya ukoloni. Kama unakumbuka, kuna tarishi mmoja wa ethiopia alihubiriwa na FILIPO akabatizwa akaleta ukristo huo Ethiopia, inasemekana nchi hiyo ilikuja kubadilishwa kuwa ya kikristo kwa miaka mingi tu, though lipo kabila pia liliamini dini ya kiyahudi, wale walioishi nayo tangu enzi za suleiman kabla hata ya Yesu. hivyo ukristo umesambazwa tu na wakoloni, ila hata kabla ya ukoloni ukristo ulikuwepo africa.
Je huyo methiopia aliubiliwa na nani? na alibatizwa na nani?
Kwa vyovyote mzungu alimbadilisha kwenye kitu ambacho yeye na jamii yake iliamini. Swali linarudi pale pale sisi waafrika historia yetu iko wapi
 
Wala sio bangi mkuu, una hoja na lazima ijibiwe ingawa umeifanya kiutani zaidi
Waafrika tulikuwa na maisha yetu kama wao walivyokuwa na maisha yao

Na baada ya wazungu kuja kama Leopod || wa Belgium mwaka 1908 alipouwa waafrika zaidi ya milioni 10 na wengine kukatwa mikono

Kumbuka walichoma vijiji na kuteketeza historia zao zote walizokuwa nazo

Hiyo ya mfalme wa Belgium sio miaka mingi sana ila utumwa ndio ulikuwa mbaya zaidi maana wazungu walipoanza kuhamia America ndio ikabidi watafute wakulima wakawalimie mashamba ya chakula huko hivyo wakaanza kuchukua waafrika mameli na mameli na inasadikiwa waliwachukua zaidi ya waafrika milioni 11

Waliofika walifika waliougua walitupwa baharini au njiani
Hata huko America pia walikiwepo watu kabla ya wazungu ( Red Indians) walikuwa na mila zao, desturi zao na hata miungu yao
Mpaka leo miji mingi America yana majina ya zamani ya wahindi wekundu ila waliteketeza mila zao zote na kuwauwa sana

Kwa kweli tulikuwa na mila nyingi ila waliharibu na kuuwa kila kitu hata historia zetu walizificha
Waliopelekwa America na majina walibadilishiwa na hata kuchanganywa wasielewane
Hao watu million 10 waliouawa na hao watumwa million 11 Inaonesha ni idadi kubwa sana ya tu. Natamani kujua historia za wafalme wao na jinsi walivokuwa civilized.

Mtu arecommend kitabu kinachozungumzia historia yetu nisome
 
Wazungu wanasingiziwa mengi sana.
Mababu zetu hawakusoma
 
Back
Top Bottom