Si kwamba kuna ulazima wa waafrika kutajwa na vitabu vya watu weupe, bali hizo hadithi za biblia&quran ni maisha na tamaduni za jamii ktk eneo fulani na si dunia nzima, elewa hapa, dini ni utamaduni na njia ya utawala wa siasa ya kiimani katika eneo fulani na si dunia nzima.
Sasa ikawaje hizi imani mbili zikatoka kuongelea tamaduni za maeneo yao na kuinclude dunia nzima?
Jibu [emoji117] pale watu weupe wazungu&waarabu walipoanza kutanua ushawishi na utawala duniani walitumia sheria zao, tamaduni zao na ushawishi wao kueneza sifa zao kwa jamii za mbali ili iwe rahisi wao kuaminika, pia kuteka akili na imani za watu wasiofuata tamaduni zao kwa kuwaaminisha tamaduni zao na background ya jamii zao ndio bora zaidi.
Ukristo kabla ya kuja Afrika haukuwa huu ukristo wa leo, bali ilikuwa imani ya umizimu ya wagiriki ambapo nao imani yao waliupdate kuja kwa warumi ambao nao waliupdate hiyo imani kwa kuleta imani mpya ya ukatolic ambayo imani hii waliupdate ili iendane na mazingira ya kila jamii na kila tamaduni kwa kuhusianisha na stories za kale za kila jamii,
Mfano kila jamii hapa duniani inaamini kuna mkombozi fulani aliyekuwepo duniani na alizaliwa bila baba na alifanya miujiza mingi pia alikuwa na sifa za nusu uungu/umizimu/nusu uungu storie hii ipo kwanzia kwa wahindi, wachina, waarabu, wazungu, mpaka Misri (Afrika) ipo storie ya aina hii hii inayofanana na kila jamii hapa dunian,
Hivyo basi baada ya warumi kuusoma huu mchezo walikusanya storie hii kutoka kwa kila jamii na kuunda stori moja ya huyo mkombozi Mungu mtu na kumuunda kiumbe mmoja ambaye wakamfananisha na jamii yao, muonekano wa jamii yao na kumpa umiliki wa majina na storie za jamii yao na ndipo wakaunda ukamilifu wa hiyo storie ya Yeshua/Jesus/Yesu ambayo story hii kila jamii kwakua ina background ya masimulizi ya uwepo wa mkombozi mwenye kufanania na stories za huyu Yesu basi jamii zinaconclude na kuamini kuwa mkombozi huyo ndiye huyo Yesu/jesus.
Na hata Afrika stories za mkombozi zipo nyingi sana ambazo nyingi zimebase katika imani za misri ya zama za kale za watu weusi,
Sasa baada ya warumi/wakatolic kuunda hiyo story kamili ya yesu ambayo ni mkusanyiko wa masimulizi kutoka kila jamii hapa dunian basi walipachika hiyo storie katika vitabu mbalimbali vya dini yao pia hata katika dini yao ya mwisho ya uislam nako huko kuna hii story.
Kiufupi tu wazungu walituwin kwa kukusanya mazuri ya hadithi zao na kutuaminisha kuwa hao wahusika wa hizo stories walikuwa watu wa jamii zao na maeneo yao kumbe si kweli.
Ukitaka kujua uongo wa hizi dini jiulize kama sisi waafrika tumetoka ktk uzao wa Adamu je ilikuwajekuwaje mtu mweupe amzae mtu mweusi? Yaani huyo Nuhu baba wa races mbalimbali duniani ambaye ni mzungu azae mtu mweusi inawezekanaje?? Hii hata kwa muujiza wala bahati mbaya haliwezekani maana mtu mweusi na mweupe ni viumbe tofauti kabisa kuanzia kibaolojia mpaka kiutu na kiungu hawa ni viumbe wawili tofauti (hili jambo hutawai sikia kutoka kwa wachungaji/mashekhe).
Kiufupi tu biblia&quran si vitabu vitakatifu wala si vitabu vya kihistoria bali ni vitabu vya kihuni vilivyotungwa kwa kuungaunga stories na kuibaiba mafundisho ya imani za jamii mbalimbali na kuyaunganisha pamoja na kuunda UONGO MTAKATIFU uku uongo huo wakiuvuvia na nguvu za Kimizimu ambazo ndizo hizo hutumika katika ibada na swala, pia miujiza feki na hisia za kujiona mwema na kuipenda imani hiyo.
Jiulize, kihistoria dunia ina maelfu ya miaka na jamii mbalimbali zimekuwepo kwa maelfu ya miaka je kwanini quran+bible matukio yao hayazidi miaka 7000 pekee? Je kwanini matukio yaliyokuwepo miaka 50,000 hayatajwi na hivyo vitabu? Jibu ni moja tu hao waanzilishi wa hizo dini waliiba storie zoote zilizotokea miaka maelfu kabla yao na kuunda stories za dini zao.
Uhalisia uko hivi, mtu mweusi ndie kiumbe pekee aliyeishi miaka maelfu kwa maelfu kabla ya ujio wa anguko la hawa aliens watu weupe, lakini maajabu historia na vitabu vya dini havielezi haya mambo ili kuficha uovu wao.
Hawa aliens(watu weupe) ndio chimbuko la maovu na ushenzi mkubwa sana hapa duniani maana kabla ya ujio wao dunia ilikuwa sehemu salama na takatifu, ukweli wa mambo baada ya Dunia kuwa chini ya utawala wa Baba wa hawa Aliens(SHETANI) vitabu vyenu vya dini vinamuita MUNGU huyu jamaa kupitia watoto wake watu weupe kaupindua ulimwengu juu chini, chini juu, yaani kila kitu hapa duniani ni uongo, kuanzia Elimu,siasa,history, uchumi na kila kitu ni uongo mtupu tunaishi ktk uongo mkubwa.
Bahati mbaya waafrika wavivu wa kusoma na kufuatilia mambo wanaishia kubishabisha viti wasivyovijua kwa kujihisi kila wanaloliamini na kulijua ndilo sahihi kumbe si kweli
Bahati nzuri haya mambo yanajulikana tayari na wengi wameshajua dunia iko vipi ndiomaana wajanja tulishaachana na hizo takataka za kidini, na kwa Uhuru huu wa mitandao ya kijamii tutegemee jamii ya watu weusi kupata habari ambazo kiuhalisia si rahisi kuzipata na mengi yameshaanza kujulikana
Ni ngumu kumuamini muafrika mwenzako basi amini hata haya maneno ya hawa watu wazito duniani ambao wanaijua dunia zaidi ya ninyi wajinga wachache mnaopenda kubisha kila jambo.
[emoji117]Pitia hizo links kwa muda wako ewe kiumbe mjuaji na mbishi[emoji116]
View: https://vm.tiktok.com/ZMMEyGBs1/
View: https://vm.tiktok.com/ZMMEyPWja/
Wake up guys