Sisi wafuasi wa Hayati Magufuli tumeumizwa sana na maneno haya ya Rais Samia

Mabalozi kurudishwa nyumbani kama wasipofuata protocol za kibalozi ni sawa..ila ubalozi wa EU haukufungwa
Wewe ni mbumbumbu wa diplomasia, hakuna kitu utaelewa. Shule Haina Headmaster bado ni shule?
 
Nawashauri makada wote wa CCM msiokubaliana na siasa za Samia jiungeni sasa katika harakati za kudai katiba mpya. Hiyo ndio sahihi ya kuhakikisha nchi hii inasonga mbele na sote tunafurahia uhuru, haki na maendeleo.
 
Sikumchagua mimi peke yangu, ni 84% ya wapiga kura, hadi wapinzani wengi walikubali mziki wa JPM na kujiunga CCM
Ni wananchi gani hao unaowasema walipitia maisha magumu? Hawa waliomchagua kwa 84% au hizo asilimia zilizobaki?
 
Wakati wa JPM tulikwama wapi pamoja na kunyimwa hiyo misaada ya masimango?
Si ndio kipindi tulifanya miradi mingi mikubwa ktk history ya Tanzania?
 
Wakati wa JPM tulikwama wapi pamoja na kunyimwa hiyo misaada ya masimango?
Si ndio kipindi tulifanya miradi mingi mikubwa ktk history ya Tanzania?
Ndio rais aliyekopa kuliko wote kati ya sita walioongoza Tanzania tangu tupate uhuru.
 
Tupo wengi sana mkuu mm bado naishi kwenye ulimwengu wa JPM na nitaishi hivo maisha yangu yote
 
Asante kwa kutufafanulia,sisi tusio na elimu ya sheria huwa tunayumbishwa sana.Watu kama nyinyi muwe mwatufafanulia.
 
Mwendazake alituambia hii nchi ni Tajiri sana inaweza kuwa donor country.

Sasa imekuaje tena mama anagombea fedha za mabeberu?!
Hata yeye alikuwa anasema tunajenga kwa pesa zetu kumbe anakopa sana kimya kimya. Hivyo kuna mmoja anaweka wazi wakati mwingine alificha
 
Watoto wa Marehemu hata Kwa Mama Samia kwenda Belgium Kwa Lissu mmeumia sana
 
Nimekuelewa sana mkuu
 
Kwendraaaaaaaa SUKUMA GANG ninyi
 
CCM kama chama ni kuanzia kipindi cha Nyerere mpaka wakati wa Mkapa tu! Baada ya hapo, iligeuka kutoka chama na kuwa kikundi cha watu wachache wanaofaidi mema ya nchi, huku wananchi walio wengi wakiishi maisha ya kupigika..
Punguzeni upumbavu sasa samia anafanya vizuri wezi wakubwa na wanaotuongoza na kutengeneza sheria mbovu kuingia mikataba mibovu ni zao la nyerere msisahau hilo nyerere alikosea sana kutoa elimu kwa wachache iliaweze kuwazibiti kwa umri wangu Mimi nimefatilia ya kwenye vitabu nje yavitabu niyasikiayo na kauchunguzi kangu nimegundua hilo mfano hivi mwalimu akugundua kuwa katiba hii inampa rais mambo makubwa hivi kwanini aliikubali na alipotaka kuondoka aliiguna hatuoni hapo badotukaa kumsifu mtuambae ametuachia matatizo makubwa lakini kama kumsifu mtu au kiongozi yoyote ambae ameleta sintofaham ndio kunatuletea amani basi nashauri tuwe hivyo amani samani yake inazidi chochote tunachokitaka ila tusipende kuangalia tulipo anguka ilatuangalie tulopo jikwaaa
 
Wakati Rais Samia akivuruga nchi wewe jukumu lako ni lipi huko ndani ya chama chenu chakavu?Suluhisho ni kuutetea aliyoyafanya huyo marehemu wenu?Je,kuna namna ya kurejesha nyakati nyuma?
Tunaposema ccm ni janga la Taifa mnalia lia kama vifaranga wasio na mama.
Tunataka kuandika Katiba mpya kwa ajili ya mustakabali mwema wa Mama Tanzania,upo upande wa wanaopinga hilo hitaji?
 
mimi sio mwana CCM, mimi ni mwananchi nisiye na chama ila nilifurahishwa na nuongozi wa JPM
 
Eti hela zao tuzipige tu. Huujui uchumi wa dunia unavofanya kazi. Wale watu hawana shida na hela kwa sababu wanachapisha karatasi. Labda useme waishiwe karatasi.

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…