Sijasikia kwa masikio yangu huyo Samia kasema nini lakini kama amezungumzia masuala ya PPP... yaani Public Private Partnership basi ni kiongozi wa ajabu tu ndie anaweza kukataa PPP katika dunia ya leo!!
The problem watu mlimwamini sana JPM na matokeo yake mkaaminishwa kila anachokisema yeye ni sahihi! Lakini kubwa zaidi, aliyokuwa anawaambia wananchi ni tofauti na ukweli uliokuwa unaendelea serikalini!!
Kwa mfano, chukua mabadiliko haya ya kisheria:-
View attachment 2125825
Ilikuwa ni serikali ya nani hiyo iliyopeleka muswada bungeni kuhusu PPP?!
Na hapo unaambiwa, an Act TO AMEND...
Baada ya hiyo amendment, mwaka 2020 ikatengenezwa regulation:-
View attachment 2125870
Kwenye hizo kanuni husika sio tu zimeelezea Solicited Proposals bali hadi UNSOLICITED PROPOSALS! And what's Unsolicited Proposal?
Regulation husika inafafanua kwamba:-
Kumbe basi, wala sio hadi mradi uwe initiated na serikali! Hata wewe ukiona fursa mahali, unaweza kuandika proposal na kuipeleka serikalini ili hatimae mtekeleze project husika under PPP.
Sasa how come tena unadai JPM alikataa PPP wakati huo huo serikali ilikua inaanda kanuni kuhusu PPP?
BONUS TRACK
View attachment 2125839