Sisi Wakristo huwa ni wachoyo sana kwenye sikukuu zetu ukilinganisha na Waislamu

Sisi Wakristo huwa ni wachoyo sana kwenye sikukuu zetu ukilinganisha na Waislamu

Kwema wakuu?

Tuseme ukweli tu sisi wakristo kwenye sikukuu zetu ni wachoyo sana ukilinganisha na waislamu.

Mfano hapa mtaani kwetu ninapoishi, tunaishi watu wa dini tofauti lakini dini zilizotawala ni Islam na Christian.

Sasa bana sisi wakristo kwenye sikukuu zetu huwa kila mtu kajifungia getini kwake na familia yake, ila kiukweli hawa wenzetu waislamu wakiwa na sikukuu zao au hata shughuli zao tu za kifamilia ebana mtaa mzima mtakula na mtasaza chakula.

Mfano last year ilikua Eid sijui ile yani hapa mtaani ilikuwa unabembelezewa mualiko, ila sisi wakristo sasa hatuna huo ukarimu.

Tubadilike jamani.
Huenda huo mtaa wenu Waislam wana hela kuliko nyie
 
Kwema wakuu?

Tuseme ukweli tu sisi wakristo kwenye sikukuu zetu ni wachoyo sana ukilinganisha na waislamu.

Mfano hapa mtaani kwetu ninapoishi, tunaishi watu wa dini tofauti lakini dini zilizotawala ni Islam na Christian.

Sasa bana sisi wakristo kwenye sikukuu zetu huwa kila mtu kajifungia getini kwake na familia yake, ila kiukweli hawa wenzetu waislamu wakiwa na sikukuu zao au hata shughuli zao tu za kifamilia ebana mtaa mzima mtakula na mtasaza chakula.

Mfano last year ilikua Eid sijui ile yani hapa mtaani ilikuwa unabembelezewa mualiko, ila sisi wakristo sasa hatuna huo ukarimu.

Tubadilike jamani.
Waislamu dini yao inawahusia kuwatendea watu wema, na majirani na wapita njia pia, wakristo wao kinyume chake
 
Kwema wakuu?

Tuseme ukweli tu sisi wakristo kwenye sikukuu zetu ni wachoyo sana ukilinganisha na waislamu.

Mfano hapa mtaani kwetu ninapoishi, tunaishi watu wa dini tofauti lakini dini zilizotawala ni Islam na Christian.

Sasa bana sisi wakristo kwenye sikukuu zetu huwa kila mtu kajifungia getini kwake na familia yake, ila kiukweli hawa wenzetu waislamu wakiwa na sikukuu zao au hata shughuli zao tu za kifamilia ebana mtaa mzima mtakula na mtasaza chakula.

Mfano last year ilikua Eid sijui ile yani hapa mtaani ilikuwa unabembelezewa mualiko, ila sisi wakristo sasa hatuna huo ukarimu.

Tubadilike jamani.
Sana tena tunaroho ya kibaguzi
 
Kwema wakuu?

Tuseme ukweli tu sisi wakristo kwenye sikukuu zetu ni wachoyo sana ukilinganisha na waislamu.

Mfano hapa mtaani kwetu ninapoishi, tunaishi watu wa dini tofauti lakini dini zilizotawala ni Islam na Christian.

Sasa bana sisi wakristo kwenye sikukuu zetu huwa kila mtu kajifungia getini kwake na familia yake, ila kiukweli hawa wenzetu waislamu wakiwa na sikukuu zao au hata shughuli zao tu za kifamilia ebana mtaa mzima mtakula na mtasaza chakula.

Mfano last year ilikua Eid sijui ile yani hapa mtaani ilikuwa unabembelezewa mualiko, ila sisi wakristo sasa hatuna huo ukarimu.

Tubadilike jamani.
Sitaki maneno kwa niaba ya hao karibuni kwangu.
 
Kwema wakuu?

Tuseme ukweli tu sisi wakristo kwenye sikukuu zetu ni wachoyo sana ukilinganisha na waislamu.

Mfano hapa mtaani kwetu ninapoishi, tunaishi watu wa dini tofauti lakini dini zilizotawala ni Islam na Christian.

Sasa bana sisi wakristo kwenye sikukuu zetu huwa kila mtu kajifungia getini kwake na familia yake, ila kiukweli hawa wenzetu waislamu wakiwa na sikukuu zao au hata shughuli zao tu za kifamilia ebana mtaa mzima mtakula na mtasaza chakula.

Mfano last year ilikua Eid sijui ile yani hapa mtaani ilikuwa unabembelezewa mualiko, ila sisi wakristo sasa hatuna huo ukarimu.

Tubadilike jamani.
Tafuta hela uache kuwaza pilau za idd.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Miaka ya nyuma nyuma

Wakati wa kufuturu watu walikuwa

Wanalia vibarazani,sahv je ??

Maisha yamebadilika kila mtu aubebe

Mzigo wake mwenyewe

Ova
 
Kwema wakuu?

Tuseme ukweli tu sisi wakristo kwenye sikukuu zetu ni wachoyo sana ukilinganisha na waislamu.

Mfano hapa mtaani kwetu ninapoishi, tunaishi watu wa dini tofauti lakini dini zilizotawala ni Islam na Christian.

Sasa bana sisi wakristo kwenye sikukuu zetu huwa kila mtu kajifungia getini kwake na familia yake, ila kiukweli hawa wenzetu waislamu wakiwa na sikukuu zao au hata shughuli zao tu za kifamilia ebana mtaa mzima mtakula na mtasaza chakula.

Mfano last year ilikua Eid sijui ile yani hapa mtaani ilikuwa unabembelezewa mualiko, ila sisi wakristo sasa hatuna huo ukarimu.

Tubadilike jamani.

Soma huu uzi na michango yote iliyomo

 
Wewe ni muislam acha kudanganya watu, pili sisi wakristo hatushoboki sana vyakula na ndio maana hata kufunga kwetu hukuti watu wakisemasema vyakula kama nyie upande wenu muslims, na ukitaka kula gonga mlango wa mkristo yoyote nakuhakikishia utakula mbaka utasaza coz vyakula sio kipaumbele katka ukristo wewe fanya utafiti au tembelea uone mavyakula ya kumwaga ila hawatangazi
 
Kuna dini fulani ni walafi sana, mbona hata sisi huwa tunafunga ila kelele za vyakula hutasikia.
Sisi wakristo hatushobokii vyakula hao upande wa pili wameweka vyakula mbelee ndio tatizo, sisi wakristo tunapika sana tu but hatupendi kuongelea vyakula
 
Kuna dini fulani ni walafi sana, mbona hata sisi huwa tunafunga ila kelele za vyakula hutasikia.
Nyinyi kwani ni wote mnafunga funga yenyewe mnaawaachia wanaofanya kazi makanisani na wazee ila waislam 80% wanafunga halafu mnafungaje huku mnatembea nusu uchi yaani nyie dini yenu kweli ina maajabu vijana wa ki kristo hamfungi kabisa mnaponda mali tu halafu mnataka na nyinyi mtambulike mnafunga.
 
Back
Top Bottom