Profesa ntare nkobe
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 6,955
- 8,120
- Thread starter
- #61
Uza ujipange ununue Gari kuliko kumiliki hako kamdoriIST yangu naipaki kabisa pembeni ya dirisha langu la chumbani..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uza ujipange ununue Gari kuliko kumiliki hako kamdoriIST yangu naipaki kabisa pembeni ya dirisha langu la chumbani..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] uyo anamiliki chombo Cha Moto, SIO gariMtu kashika simu ya itel na ufunguo wa vitz halafu anaongea mbele ya kadamnasi kwamba ana gari
Kataa mahali wakina riki boy waendelee kumla kimasihara[emoji1787][emoji1787]NIKIWA Kama baba wa binti,
Sipokei mahali iliyoletwa Kwenye IST[emoji4]
Mbwembwe za kishambaSaivi Niko kwenye range yangu natoka sakina naelekea sanawari ya juu huku road watu wananionea Sana wivu
Hapana vitz ndugu yake itelKwamba Vitz haina tofauti na Nokia tochi? [emoji23]
Acha wivu we kitaksiiMbwembwe za kishamba
Edson kha
sasa dada na hivi uko mnene..hako ka vitz hakakufai tena..sasa unapanda kagara na unene huo kanakuwa kama kamebonyea upamde mmoja..mwambie mzee kutafutie walau Xtrail..au harrier wa mama vibonge wanapendeza..vitz,cami,cooper etc sio gari hizo ni vifaa vya kutembelea...
Sipokei mahari iliyoletwa na prado na vigari vingine, nahitaji kuanzia gari ya milioni 900.NIKIWA Kama baba wa binti,
Sipokei mahali iliyoletwa Kwenye IST[emoji4]
Wa prado mfikilie lakini sio hawo wanao miliki vimidoriSipokei mahari iliyoletwa na prado na vigari vingine, nahitaji kuanzia gari ya milioni 900.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna namna mdogo wangu..
Ule mzigo inabidi tuongeze tupande magari.. tuachane na magari ya kudumbukia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
JF Idumu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Twende na vieite
Tafuta hela upunguze kujielezea.honestly sina gari japokuwa ni kitu kipo katika ratiba zangu za mwaka huu ila nakumbusha ni uduanzi mwanaume kupaki gari katika parking ya mwanaume mwenzio imean kupaki gari katika nyumba ya kupanga labda itokee kwa sababu za kikazi kuwa umepangiwa mkoani kikazi na unapaswa kuishi hukohuko ila hii michongo ya wanaume wa dar kupanga una mke na watoto na gari ni ufala, na kuna mjinga mmoja hapa jirani yangu ana crown alafu amepanga single room ya elfu arobaini, kudadeki nikikwambia mwanaume mwenye akili timamu akianza kazi za udalali ujue kawehuka watu wananiona ninamajungu, any way inshort mwaka huu umekuwa neema kwangu maana nimehamia kwangu na kwa wenye uzoefu wa magari ningependa mnijulishe kati ya foresta XT na Nissan Duals, pamoja athlethe crown ni gari ipi nzuri ya kuanzia maisha kwa sisi ambao ndio tunaanza maisha ya kuendesha gari? nadhani kwa sasa ndio gari ambazo zinanivutia
Sent from my SM-G988N using JamiiForums mobile app
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa dada ile imebaki jero tu[emoji2297][emoji2297]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tafuta hela upunguze kujielezea.
Yaani naona nina nyota ya boda boda hata kudumbukia sitodumbukia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mdogo wangu!!! Tutafikia malengo kweli?
Kila siku mbona Inapunguzwa?
[emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo comment umeandikiwa? Nimecheka[emoji23][emoji23][emoji23]