Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani naona nina nyota ya boda boda hata kudumbukia sitodumbukia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
Sasa tunapangianaje namna hiyo jamani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lile sio tyre. Ni "Gurudumu".Kale ka kuitwa ka Paso jamani ukiviangalia vitairi vyake[emoji17][emoji17][emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]
Lakini ndo uchumi wetu ulipoanzia tutafanyaje sasa,sio kwamba tunavipenda sana hivyo vi baby worker
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwaiyo anajieleza sanaTafuta hela upunguze kujielezea.
Yaani acha tu[emoji2297][emoji2297][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kuchuchumaa mwanzo mwisho....
Maelezo mareeefu kisa wenzie wana magari ila yeye hana![emoji1787][emoji1787][emoji1787]kwaiyo anajieleza sana
[emoji23][emoji23]mshauri apambane, mwanaume mapambanoMaelezo mareeefu kisa wenzie wana magari ila yeye hana!
Ma nina. Nimecheke kijingaMwanaume unapata wapi ujasili wa kuomba lift Kwenye IST
Huogopi HATARI ya kupata bawasiri kutokana na kujikunja miguu na magoti MDA mrefu? [emoji4]
Gari ya hadi kama gari gani asee.. maana kuna mademu wa ilala, ist rumio kwao ni gari ya hadhi wanakutunukua hadi vitu haramu..Holy Man wanakuchokoza huku..
Ukiwa unatafuta hela alafu ukanunua gari ya hadhi yako tusaidie hiyo hadhi yako ni hadhi ya mtafutaji ?Nime kuwa nasikitika sana kuona wanaume wenzangu wananaua tumidori vigari vidogo sana havina nafasi Ist,Vits na ndugu zake wakina passo n.k tupambane tutafute hela tununue BMW V8 PRADO n.k
Neno mwanaume tayari ni hadhiUkiwa unatafuta hela alafu ukanunua gari ya hadhi yako tusaidie hiyo hadhi yako ni hadhi ya mtafutaji ?
Au hadhi ya maskini ambaye anadunduliza kutafuta pesa kununua gari mkuu
Ni gari zipi za wanaume mkuu ?Neno mwanaume tayari ni hadhi
Ukiondoa vitz na ndugu zake wote zilobakia kama BMW n.k ndizo gari za mwanaumeNi gari zipi za wanaume mkuu ?
Ahaha mkuu mbona wanawake wengi wanazitumia ?Ukiondoa vitz na ndugu zake wote zilobakia kama BMW n.k ndizo gari za mwanaume
Si kweliNi kweli waliojoin JF kwanzia 2016 kushuka chini tunamiliki ndinga za maana town na hao wa 2017 kupanda juu ndo vitz IST spacio na mini Cooper huoni hata Kunde Ekeke anavolalama 😂