Sisi wanaume tutafute hela tununue magari ya hadhi yetu

Hivi vitu ni gharama sana inatakiwa tutafute sana pesa mamen tusitegemee kuonewa huruma You now - Lemutuz
 
Kale ka kuitwa ka Paso jamani ukiviangalia vitairi vyake[emoji17][emoji17][emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]
Lakini ndo uchumi wetu ulipoanzia tutafanyaje sasa,sio kwamba tunavipenda sana hivyo vi baby worker
 
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna namna mdogo wangu..
Ule mzigo inabidi tuongeze tupande magari.. tuachane na magari ya kudumbukia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

JF Idumu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa dada ile imebaki jero tu[emoji2297][emoji2297]
 
Tafuta hela upunguze kujielezea.
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mdogo wangu!!! Tutafikia malengo kweli?

Kila siku mbona Inapunguzwa?
Yaani naona nina nyota ya boda boda hata kudumbukia sitodumbukia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…