NetworkEngineer
JF-Expert Member
- Jun 21, 2012
- 1,952
- 1,181
Nako ni kamdori sio gariNa sisi wenye Passo itakuwaje sasa
Basi ataishia kupigwa mashine na wasukuma guta tu.NIKIWA Kama baba wa binti,
Sipokei mahali iliyoletwa Kwenye IST[emoji4]
KabisaMungu tusaidie Kuna vigari ni aibu kuendesha sema Basi tu ufukara umetujaa Hakuna namna
Inahitajika ujasili wa hali ya juu sana Mwanaume kwenda na VITS ukweni[emoji4]
Bora ununue pikipikiDah jamani,mbona mimi nafikiria kununua hiyo?