Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 43,973
- 150,463
Nakutumia locationWapi huko jamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakutumia locationWapi huko jamani
Hawa ndo wanasema wanajua kupetipetii ??Bila kutupia angalao kapicha kamoja watu wanaweza wasielewe wanaume wa Dar ni watu wa aina gani![emoji53][emoji53][emoji53]
AiseeNipo mwanaume wa DSM!
Shunie wewe wa mkoani au wa DarHalaf naitafuta hiyo picha mie jaman ndio mwanaume wa wapi huyo [emoji23][emoji23][emoji23]
SawaNakutumia location
Hapo sasa mwanaume ndiyo yupi?Bila kutupia angalao kapicha kamoja watu wanaweza wasielewe wanaume wa Dar ni watu wa aina gani![emoji53][emoji53][emoji53]
Yaweza kuwa aisee. Nothing to justify, too childishUmeshakuwa wa Dar
Kumbe ndo maana siku hizi hunitaki!!......na ole wako nikupate,nitakugeuza geuza kama chapati ya mama ntilie!!Kila mmoja anamadhaifu yake
Mwanaume Wa dar yupo romantic, anajua kupetipeti, anajua viwanja, anajua how to make you feel like upo peponi hahaha sijui pepo ya fordaus au IPI, ukija kwenye 6 x 6 ndo majanga unayakuta moja chali. Ingawa wengi (including me) huwa wanapenda hiyo kitu sio kuchoshana mpaka kunakuwa kwekunduuuuu unageuzia feni papate upepo maana sio Kwa umoto ule
Wamikiani mmmh, hawajui beach, hawajui club, hawajui kupetipeti, hata kutembea barabarani hawawezi, ila kwenye uwanja wapo vzr wanaweza kurudia Mara kadhaa mpaka useme basi,
According to me, napenda wanaume Wa dar, hahaaha
Ahahhah Youngblood kwa nini umeniukiza hivyo ebu nitafutie hiyo picha nione huyo ni mwanaume wa wapi nimjueShunie wewe wa mkoani au wa Dar
[emoji23][emoji23][emoji23]Mwanaume wa Dar anamkimbia panya road???
Wewe wa wapiAhahhah Youngblood kwa nini umeniukiza hivyo ebu nitafutie hiyo picha nione huyo ni mwanaume wa wapi nimjue
Huu sio utani ni ukweli kabisa[emoji15] vp mkuu...mbona unaongea ukweli badala ya utani
Hivi si wameitwa wanaume me nahusika vipi jamanWewe wa wapi
Si umeulizwaa ?? Au hajui wewe ni mke wa mtuHivi si wameitwa wanaume me nahusika vipi jaman
Saw nyie mshazowea kupigwa pump za baskeli
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Hadi kuingiziwa pump inaonesha ni jinsi gani tuna uvumilivu.. Nyie kama juzi wanaume wa Ukonga zaidi ya 300 wanapigwa na askari ambao hawazidi hata 20. Hadi mwanamama Mkuu wa Wilaya anakuja kuwatoa chini ya uvungu..