Mgodo visa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2016
- 3,590
- 3,632
Kwa mienendo hii, mimi naamia Mikoani..[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yeah pehaaaaKuna mwanaume wa Dar alileta uzi kuwa kapigwa mbele ya mama mkwe wake.!! Mke wake alitoka nduki akamwacha dume zima linachezea mikanda na makofi mbele ya mkwe, kama sio wehu ni nini!!
Mwanamke 1 wa kimasai ni sawa na wanaume 500 wa Dar!!
Huyo ndio mwanaume wa wapi mbavu zangu mimi jamaan![]()
Kwa mienendo hii, mimi naamia Mikoani..[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mavi makavu wanaoenda na maji wanapigwa tako wazee wa kujihalishiaWanaume wa mikoani kwa nini mkienda kunya hamuendi na maji?
Kwenye ubora wako ule ule [emoji3][emoji3]Kuna mwanaume wa Dar alileta uzi kuwa kapigwa mbele ya mama mkwe wake.!! Mke wake alitoka nduki akamwacha dume zima linachezea mikanda na makofi mbele ya mkwe, kama sio wehu ni nini!!
Mwanamke 1 wa kimasai ni sawa na wanaume 500 wa Dar!!
Hadi kuingiziwa pump inaonesha ni jinsi gani tuna uvumilivu.. Nyie kama juzi wanaume wa Ukonga zaidi ya 300 wanapigwa na askari ambao hawazidi hata 20. Hadi mwanamama Mkuu wa Wilaya anakuja kuwatoa chini ya uvungu..
Mbona hata mikoani hawa wapo.![]()
Kwa mienendo hii, mimi naamia Mikoani..[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwenye ubora wako ule ule [emoji3][emoji3]
Nà hawa ndio wa mikoanihawa ndo wanaume wa jiji la bhashite
![]()
![]()
Lakini ww ni wa Dar au ni wa kule umekulia huku. Mana sisi wa Dar hatuna time ya kushindana na hawa wa mikoani. Mana hawa ndo Magu huwaita wananchi wanyonge anaowatetea. Tunaanzaje kuwapa mademu wetu kwa mfano.... hata Kwa dakika moja
HahaaaaBado wana kamba mguuni, kila Ijumaa jioni au Jumamosi asubuhi wanarudi Dar sijui kula pweza sijui