Sisi wanaume weupe tunachukiwa sana. Haya maneno ya huyu jamaa si ya busara

Hadithi yako inatufundisha nini?
 
Mi nilitaka kusema hapa ni pumba
 
Mimi binafsi nimeshuhudia wanawake weupe wakisema hawawezi kuwa na wanaume weupe wanapenda lijamaa liwe jeusi jeusi hivi limepanda hewani. Likewise wanaume weupe wanawapenda wanawake Black beaty. Wanaume weusi wanawataka wanawake weupe. Is just a rule of nature to have the opposite of what you have.
Kama ilivyo kwa wanaume, hawezi vutiwa na mke asiyekuwa na matiti kwa kuwa mwanaume naye hana matiti. Matako hali kadhalika, vile vile km mme ana ukuni atataka aone sehemu iliyoingia ndani ili kufitisha ukuni wake, ngozi ngumu atataka akutane na laini, nywele fupi atataka nywele ndefu, sauti nene kwa nyororo.
Hakuna common rule eti wanaume weupe wanapendwa na wanawake wote Big NO au wanawake weupe wanapendwa na kila mwanaume Big NO. The reason why wanawake wanatafuta weupe is simply wanaume wengi ni weusi watataka shabihiana na wanawake weupe ilihali wanaume weupe ni wachache.
Choose your choice achana na ku complicate your life kwa kufanya comparisons dunia ni kubwa sana huwezi ridhika na kabla hujamaliza au kufikia ulichokitamani unajikuta "unaumaliza mwendo"
 
Don't block opinion filter them if it's true cancel them and move on.
 
Lipia tangazo
 
Ushamba mzigo.
 
Siyo rangi tu ya kidemu hata akili yako ya kidemu. Kulia lia na kulalamika kipuuzi kunaonyesha una genes za kike kike. Huwezi kumezea na kupuuzia.

Kwani ukiitwa white kuna shida gani?

Wewe white vipi aisee?
kwa hiyo na wewe tukikuita black utafurahi?
 
Nadhani pm yako mpaka sasa itakuwa imejaa
 
Wewe jamaa kweli mtihani yaani badala utafute pesa unazungumzia weupe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…