Sisi wanawake bwana!

hao watakuwa warangi ndio tabia zao hizo
 
mwanaume wa watu yupo njia pnda hajui amfate yupi amsikilize mama yake anayemtishia kama mimi sio mama yako ndoa iko pale pale au baba anayemwambia hakuna ndoa na mahari yetu waturudishie au amsamehe baby wake shetani wamwisho wa mwaka kampitia tu
Huyo maza ni mjinga sana kwahiyo analazimisha.ndoa kisa wametoa mchango?? Kijana anatakiwa kumsikiliza faza
 
Mapenzi yana teach na R.i.p Kwa wote walio poteza maisha Yao sababu ya mapenzi it's true hayana chuo Wala muongozo πŸ˜”πŸ€¨πŸ˜’πŸ˜’

Asalamaleko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…