Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh 😂😂😂Ndio maana uko CCM, utakua wa ujombani wewe
Looh😂😂😂Nimefanya utafiti wangu nimegundua sisi wapare (vaathu) tunaakili Sana za darasani kuliko wachaga. Katika historia yangu ya elimu sijawahi kupitwa na mchaga kamwe.
Pia sisi wapare ni Kati ya makabila top 3 waliosoma Sana Tanzania wengine ni wahaya na wanyakyusa. Pia inasemekana asili yetu ni Israeli kutokea kwa mafalasha wa Ethiopia.
Itoshe kusema sisi ni Jews ancestry ndio maana kwa akili na uchapakazi wetu hayati mwl Julius Kambarage Nyerere alituita wapare ni wachina wa Tanzania.
Vumwe vwa Vaathu.
Hao walipokuja same walikuja na wasomali ambao walidharaulika ndio waliitwa wambugu na kulikuwa na Vita ambayo mpaka Leo Kuna eneo linaitwa kava mbughu . Wanaojua zaidi wataeleza kuhuhusu kava mbughuSoma history..
Chief Kimweri alikimbia uvamizi wa wajerumani milima ya usambara akakimbilia milima ya same.
#YNWA
Ni kweli ila sio wote, jua hilo pia.Ulichokiandika kimethibitisha mkuu.
MkuuNimefanya utafiti wangu nimegundua sisi wapare (vaathu) tunaakili Sana za darasani kuliko wachaga. Katika historia yangu ya elimu sijawahi kupitwa na mchaga kamwe.
Pia sisi wapare ni Kati ya makabila top 3 waliosoma Sana Tanzania wengine ni wahaya na wanyakyusa. Pia inasemekana asili yetu ni Israeli kutokea kwa mafalasha wa Ethiopia.
Itoshe kusema sisi ni Jews ancestry ndio maana kwa akili na uchapakazi wetu hayati mwl Julius Kambarage Nyerere alituita wapare ni wachina wa Tanzania.
Vumwe vwa Vaathu.
Kwakuwa ni watani wetu, huu ni kati ya utani mwingine.Nimefanya utafiti wangu nimegundua sisi wapare (vaathu) tunaakili Sana za darasani kuliko wachaga. Katika historia yangu ya elimu sijawahi kupitwa na mchaga kamwe.
Pia sisi wapare ni Kati ya makabila top 3 waliosoma Sana Tanzania wengine ni wahaya na wanyakyusa. Pia inasemekana asili yetu ni Israeli kutokea kwa mafalasha wa Ethiopia.
Itoshe kusema sisi ni Jews ancestry ndio maana kwa akili na uchapakazi wetu hayati mwl Julius Kambarage Nyerere alituita wapare ni wachina wa Tanzania.
Vumwe vwa Vaathu.
😅😅Bro wapare ni wasambaa waliokimbia na chief kimweri kutoka usambara na kukimbilia Same. Walikimbia wajerumani.
Huo u Israel mmeupata wapi?
#YNWA
Ndio maana imefikia mahali mgombea wenu wa ubunge anadhalilisha imani za wengine (wakatoliki)wakati wa kampeni ili tu apate ubungeNimefanya utafiti wangu nimegundua sisi wapare (vaathu) tunaakili Sana za darasani kuliko wachaga. Katika historia yangu ya elimu sijawahi kupitwa na mchaga kamwe.
Pia sisi wapare ni Kati ya makabila top 3 waliosoma Sana Tanzania wengine ni wahaya na wanyakyusa. Pia inasemekana asili yetu ni Israeli kutokea kwa mafalasha wa Ethiopia.
Itoshe kusema sisi ni Jews ancestry ndio maana kwa akili na uchapakazi wetu hayati mwl Julius Kambarage Nyerere alituita wapare ni wachina wa Tanzania.
Vumwe vwa Vaathu.
Nimefanya utafiti wangu nimegundua sisi wapare (vaathu) tunaakili Sana za darasani kuliko wachaga. Katika historia yangu ya elimu sijawahi kupitwa na mchaga kamwe.
Pia sisi wapare ni Kati ya makabila top 3 waliosoma Sana Tanzania wengine ni wahaya na wanyakyusa. Pia inasemekana asili yetu ni Israeli kutokea kwa mafalasha wa Ethiopia.
Itoshe kusema sisi ni Jews ancestry ndio maana kwa akili na uchapakazi wetu hayati mwl Julius Kambarage Nyerere alituita wapare ni wachina wa Tanzania.
Vumwe vwa Vaathu.