Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,482
- 27,182
Habarini Wana Yanga Wenzangu,
Leo tukiwa pale Mkapa Stadium tukifanya show za kisanii na sarakasi zilizotaka kumdondosha Konde Boys kwenye rope, Wenzetu kule Arusha walichakaza Vibaya Namungo kwa kipigo cha Paka mwizi na kubeba Ngao ya Hisani.
Ikumbukwe kuwa aliyefunga goli la pili la Simba ni mchezaji wetu sisi Yanga ambaye ni Bernard Morrison, huyu Morrison alipangwa leo kucheza mechi yetu ya Siku ya Wananchi lakini ameona bora akimbilie Arusha akacheze kwa Simba.
Hivyo kushinda kwa Morrison mchezqji wetu ndiyo kushinda kwa Yanga. Kufunga goli Morrison ndiyo Kufunga goli kwa Yanga.
Morrison kabeba Ngao ndiyo Yanga kabeba Ngao.
Daima mbele Nyuma Mwiko
Leo tukiwa pale Mkapa Stadium tukifanya show za kisanii na sarakasi zilizotaka kumdondosha Konde Boys kwenye rope, Wenzetu kule Arusha walichakaza Vibaya Namungo kwa kipigo cha Paka mwizi na kubeba Ngao ya Hisani.
Ikumbukwe kuwa aliyefunga goli la pili la Simba ni mchezaji wetu sisi Yanga ambaye ni Bernard Morrison, huyu Morrison alipangwa leo kucheza mechi yetu ya Siku ya Wananchi lakini ameona bora akimbilie Arusha akacheze kwa Simba.
Hivyo kushinda kwa Morrison mchezqji wetu ndiyo kushinda kwa Yanga. Kufunga goli Morrison ndiyo Kufunga goli kwa Yanga.
Morrison kabeba Ngao ndiyo Yanga kabeba Ngao.
Daima mbele Nyuma Mwiko