permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Hamia na nyumbani kwake kabisaNilishahama Simba nilijiunga na Yanga kumfata MORRISON
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamia na nyumbani kwake kabisaNilishahama Simba nilijiunga na Yanga kumfata MORRISON
Hamia na nyumbani kwake kabisa
Kwanza Ninasubiri Rufaa yenu ya CAS muliyoiandika kwa Kiswahili isikilizwe.
Eti sisi mashabiki wa yanga. Yaaan wewe, your mother, father, sister, uncle ....Habarini Wana Yanga Wenzangu,
Leo tukiwa pale Mkapa Stadium tukifanya show za kisanii na sarakasi zilizotaka kumdondosha Konde Boys kwenye rope, Wenzetu kule Arusha walichakaza Vibaya Namungo kwa kipigo cha Paka mwizi na kubeba Ngao ya Hisani.
Ikumbukwe kuwa aliyefunga goli la pili la Simba ni mchezaji wetu sisi Yanga ambaye ni Bernard Morrison, huyu Morrison alipangwa leo kucheza mechi yetu ya Siku ya Wananchi lakini ameona bora akimbilie Arusha akacheze kwa Simba.
Hivyo kushinda kwa Morrison mchezqji wetu ndiyo kushinda kwa Yanga. Kufunga goli Morrison ndiyo Kufunga goli kwa Yanga.
Morrison kabeba Ngao ndiyo Yanga kabeba Ngao.
Daima mbele Nyuma Mwiko
Baada ya kupata kipigo heavy cha 3 bila kuyoka kwa Kagera Sugar..kuna Shabiki mwenye Hasira kali akasema "hii yanga ni UTOPOLO kabisa"Hivi hili jina la UTOPOLO lilianzaje wakuu.?
Shukrani mkuu.Baada ya kupata kipigo heavy cha 3 bila kuyoka kwa Kagera Sugar..kuna Shabiki mwenye Hasira kali akasema "hii yanga ni UTOPOLO kabisa"