Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Satini, zile mashati wanavaaga wasabato kwenye kwaya.Aisee! Hata mtu akivaa nguo za kung'aa sana na zenye marangirangi na maua mengi tunasema ni Msukuma.
Wa bheja sana!
Haya mambo ya Mshana Jr yanamuhusu saana
Na Kwa bahati mbaya nae ni WA mlango ule sijui hiyo kafara kama itafanikiwa na kupokelewa kweli
Mnajipenda?Haya mambo ya Mshana Jr yanamuhusu saana
Na Kwa bahati mbaya nae ni WA mlango ule sijui hiyo kafara kama itafanikiwa na kupokelewa kweli
Wacha kwanza aje mtaalam wa haya mambo , mengine yatakuwa ni madogo madogoMnajipenda?
Ungejua wanawake wanavyotupenda wasukuma..kwanza tuna nguvu za uhakika mana tunakula sana..hivyo tunapelekea moto sio mchezo.Sisi wasukuma tuna ukabila kwa kwenda mbele halafu tukipewa kazi tunawaza chips na wanawake. Kwa ujinga wasukuma wanaongoza, Wana Imani K ya mwanamke mweupe Ni tamu kuliko ya mweusi.
Kwa ushirikina na uchawi tunaongoza.
Kama wewe sio msukuma tafadhali usioe/olewe na msukuma.
Kumbe siku hizi mmeanza kuwa na akili.....Ungejua wanawake wanavyotupenda wasukuma..kwanza tuna nguvu za uhakika mana tunakula sana..hivyo tunapelekea moto sio mchezo.
Pili tunnafanya kazi sana kilimo..biashara n.k hivyo vijipesa vya kuhonga havikosekani natunahongaga kweli kweli hasa demu akiwa mweupe.
Tatu tuna miili mikubwa warefu siunajua mademu wanapendaga wanaume warefu na weusi..kwahiyo wanatushobokeaga wenyewe.
Yani hiiiiiiiii wewe achaga tu tunawa tafunaga...lekaga gete bhahebhu.
Wabeja sana..wasukuma ndoho tabhu.
#MaendeleoHayanaChama
Hutaki kafara la watu watano?Mimi Yanga ila wasukuma mtukome.
Mbona kama unahamasisha tutengwe na dunia yote?Sisi wasukuma tuna ukabila kwa kwenda mbele halafu tukipewa kazi tunawaza chips na wanawake. Kwa ujinga wasukuma wanaongoza, Wana Imani K ya mwanamke mweupe Ni tamu kuliko ya mweusi.
Kwa ushirikina na uchawi tunaongoza.
Kama wewe sio msukuma tafadhali usioe/olewe na msukuma.
Hahah hahah hahah labda mbadilishane na Waisraeli, ndio maana asali na maziwa vinapatikana wanapoishi Wasukuma tuKwani haiwezekani hawa wasukuma tungebadilishana hata na wasudani kusini? Yaani tunawachukua baadhi ya wasudani halafu wao tunawapea wasukuma!! Wakapigwe na njaa ili wapate akili 😂😂
Yaya getegeteMbona kama unahamasisha tutengwe na dunia yote?
Noma sana!Sisi wasukuma tuna ukabila kwa kwenda mbele halafu tukipewa kazi tunawaza chips na wanawake. Kwa ujinga wasukuma wanaongoza, Wana Imani K ya mwanamke mweupe Ni tamu kuliko ya mweusi.
Kwa ushirikina na uchawi tunaongoza.
Kama wewe sio msukuma tafadhali usioe/olewe na msukuma.