Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Mkuu,Kwamba viongozi wakufanye wewe usiwe mchafu? Au mimi ndio sijakuelewa maana unakuta kubwa zima linakunywa maji ndani ya gari au daladala akimaliza anatupa chupa ya maji barabani kupitia dirishani. Hapo kiongozi anahusikaje na uendawazimu wa kubwa jinga kama huyu?
NI kweli kabisa ulichoandika kwa uchafu hakuna mkoa unaoweza kuuingia Dar, hadi najiuliza huu mkoa una viongozi kweliNyie watu! Hata kama Dar ina mapungufu yake, lakini hapa Tz hakuna mkoa unaweza kuuingia Dar hata kwa robo! Dar ipewe heshima yake! Mikoa yote sijui Arusha, mwanza, Dodoma hata ikiungana haiwezi ifikia Dar
Hiyo mikoa imetoa.viongozi wakubwa tu wa kitaifa na wabunge wa maana wakifika bungeni wanapiga meza kupitisha maombi ya wenzao kuendelezewa miji yao, sasa nani aje awaendelezee?Dar jiji lina kila harufu mbaya unayoijua huku Duniani.
Mamlaka zilitazame sana hili jambo.
Halafu Serikali mbona kuna mikoa wanaitelekeza na inaweza kuwa na potential sawa na Dar , mfano Tanga, Lindi na Mtwara.
Kweli haiwezi kufikiwa kwa uchafuNyie watu! Hata kama Dar ina mapungufu yake, lakini hapa Tz hakuna mkoa unaweza kuuingia Dar hata kwa robo! Dar ipewe heshima yake! Mikoa yote sijui Arusha, mwanza, Dodoma hata ikiungana haiwezi ifikia Dar
Kwahiyo, huko mkutanoni hakuna watanzania, kuna wa nchi nyingine tu?Nilijua wageni wanapokuja ni fursa kwa wenyeji, nilidhani watanzania watafundishwa namna nzuri ya kufanya biashara zao na kunufaika na wageni wanapokuja badala yake sisi hatujui kujiweka smart na kuuweka mji wetu smart sasa tunatimuliwa mabarabarani huko sisi ni Wachafu tutaharibu sifa ya nchi yetu nzuri ,Iko siku watakuja viongozi wa Dunia akina Putin, Kim jong UN ,watakuja kutuambia twende kwa muda Rufiji Mwanalomango huko ili kupisha wageni la mkuu limesikika
Unaandika kama hujawahi kusikia kile kiharufu pale kivukoni, na kukiwa na upepo mkali kdg kinafika hadi posta yaan ni kero, kama vile K yenye UTI sugu na haijaoshwa wiki nzima.Nyie watu! Hata kama Dar ina mapungufu yake, lakini hapa Tz hakuna mkoa unaweza kuuingia Dar hata kwa robo! Dar ipewe heshima yake! Mikoa yote sijui Arusha, mwanza, Dodoma hata ikiungana haiwezi ifikia Dar
Kiukweli dar kwa harufu mbaya inashika namba moja. Kuna harufu ukienda mikoani hazipo ila njoo dar sasa, maweeeeDar jiji lina kila harufu mbaya unayoijua huku Duniani.
Mamlaka zilitazame sana hili jambo.
Halafu Serikali mbona kuna mikoa wanaitelekeza na inaweza kuwa na potential sawa na Dar , mfano Tanga, Lindi na Mtwara.
Huko kkoo watu wanafukaje leo? Au kuna chocho zipo wapi za kufika huko?Tumeambiwa kariakoo tu ndio huduma zitaendelea maana yake biashara zote
Nimeish arusha ni kuchafu kama nini.Me nazungumzia usafi mkuu sijasema Kuna mkoa Dar unaipiku kimaendeleo..
Rasilimali zikitumika sawa sawa kuna mikoa ambayo Dar itaachwa mbali sana ni vile tu hatujawa serious na mali zetuNyie watu! Hata kama Dar ina mapungufu yake, lakini hapa Tz hakuna mkoa unaweza kuuingia Dar hata kwa robo! Dar ipewe heshima yake! Mikoa yote sijui Arusha, mwanza, Dodoma hata ikiungana haiwezi ifikia Dar