Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Nimewahi kuandika Arusha ni mkoa wenye watu wasafi na nadhifu sana watu wakabisha.Katika mkoa mchafu Tanzania ya kwanza ni Dar.
Huo mkutano bora wangepeleka Moshi au Arusha au hata Dodoma.
Dar posta tu ile ukishuka chini hapa kwenye fukwe unaweza jiuliza marambili sisi waTz tuna shida gani kila kitu chetu ni hovyo.