Sisi Yanga kuna teams tunajipigia tu goals tunazotaka

Sisi Yanga kuna teams tunajipigia tu goals tunazotaka

Kocha anakadi ya uwanachama tena iliyokuwa hai ...inchi tunadanganyana
 
Singida? Kagera Sugar? Dodoma Jiji? Hawa wachovu sana kwetu. Yaani hawa huwa tunaingia kwenye ligi tukijua kabisa wanapoints zetu. Idadi ya mabao tu ndo tunakuwa hatujui.

Mbwa walidhani Singida watatusumbua..... Haitatokea.
619BE9A2-1986-420D-B3D7-83BA7432AE19.jpeg
 
Singida? Kagera Sugar? Dodoma Jiji? Hawa wachovu sana kwetu. Yaani hawa huwa tunaingia kwenye ligi tukijua kabisa wanapoints zetu. Idadi ya mabao tu ndo tunakuwa hatujui.

Mbwa walidhani Singida watatusumbua..... Haitatokea.
Hapana sio kujipigoa tu tunajipanga haswaa
 
Back
Top Bottom