Sisikii sioni, Magufuli milele, hii sasa ndio imekuwa nyimbo yangu

Wewe pinga kwa hoja kwa nini asiwe wa milele mpaka tunamsindikiza kaburini ? Sio unaleta ngalambe.
 
Wewe pinga kwa hoja kwa nini asiwe wa milele mpaka tunamsindikiza kaburini ? Sio unaleta ngalambe.
Hakika Ametawala mpaka kafia madarakani hongera sana "Mnamaara"..
 
Heshimu watu, Sponsor huvuta!
 
Hivi bado Una mawazo kama hayo kwa sasa au umeuona ukweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…