Sister Fey dish limeyumba na anahitaji msaada? Wako wapi ndugu zake?

bangi mbaya sana wote ni watu wa msuba nilienda juzi kwa jamaa yangu tunaongea naona ananichekea chekea haeleweki nikajiuliza vp jamaa au anataka kunifanya kitoweo, nikatoka zangu bila kuaga Bangii hii jaman sio

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dread, Macho muonekano na matendo = BANGE sio Mchicha


Bange bila shughuli rasimi inayotambulika na jamii au serikali ndio matokeo yake hayo.

BANGE inataka wawajibikaji wenye kujua thamani yao na true life ya kuweka MISINGI ya kizazi chao. One love for all.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu anaamua mambo yake unamwita mgonjwa?!

[emoji252] [emoji479]
 
Write your reply... Ndo maisha aliyoamua kuyaishi
 
dish halijayumba, watanzania wanapenda watu wenye akili za namna hiyo ndiyo maana huyo dada anaanda shows zinajaa anapata rizki yake.

Inshort Watanzania wanawatazama zaidi watu wenye akili ambayo haiko sawa-sawa.
 
Ujinga umemzidi
Ndugu zake wana kazi sana
 
huyo kijana hongera yake hadi mama wa watu kawehuka sijuwi anatumia ya DRC au Zambia
 
Mapenzi mubashara nadhani huyo dogo ni ndege tu anatafuta kiota kazuri cha kutagia siku zinahesabika na katafuna kweli jimama hlo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wa Bongo hatuna ustaarabu wa kuwasaidia watu wenye matatizo ya afya ya akili mara zote tunawatumia kama kichekesho kwenye maisha kwa kuwaaminisha wao ni wazima ili tuburudike,uyo chizi ana followers wengi tu na full kumpa sifa unadhani ataacha juzi hapa nimeona kaalikwa kwenye b'day ya RJ wa WCB na huwezi amini na yeye ni msanii (mwana muziki) sijui nyimbo zake lakini [emoji23][emoji23] duh Ya Allah nusuru kizazi hiki na mabalaa haya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…