Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Fey ananichekesha mno jamani siku hizi hatufundi tena anatuonesha live
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila wanawake wa Tanga huwa wana vituko sana sijui kwanini ...naona hata ofisini hapa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Fei ni huyo aliyebebwa mgongonifei ndo yupi hapo
Goo morning wana Jf!
Watanzania huwa tunatabia ya kuwaongezea ugonjwa wagonjwa..Yaani mtu anaweza akawa anaugua kabisa na dalili zote tunaziona lakini ndio kwanza tunaendelea kumgeuza kiburudisho au kivutio..
Huyu Mama anaye jiita Sister Fei ni mgonjwa kabisa na ana hitaji msaada kabisa na kinacho shangaza badala ya kumsaidia watu wana mgeuza kivutio au kituko...Bado najiuliza watoto wa huyu Mama wako wapi kumsaidia Mama yao hata kumpeleka hospitali?
Ndugu wa huyu Mama wako wapi kumsaidia ndugu yao anaugua kabisa?
Ndugu wa huyu kijana anayeonekana na mgonjwa wako wapi kumshauri wampeleke hospitali?
Wazazi wa huyu kijana wako wapi?
Huyu Mama anahitaji msaada asaidiwe haraka.
Muda huongea lakini ukweli ni kwamba huyu Mama anaumwa kabisa ni muda utathibitisha...View attachment 847756View attachment 847757View attachment 847758
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa comment hii bila shaka umeitendea haki ID yako.
hivi Ruttashobolwa ni demu? me nilijua ni MAMAWew unapimaga madishi?Mbona lako limeanguka hatusemi...
Mwenzio hiyo ndo kazi yake wew unapata wivu...(kuwa makini wanaume hawako namna hii)