SISU ni movie inayoongoza kwa uongo duniani

SISU ni movie inayoongoza kwa uongo duniani

Mchochezi

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
10,962
Reaction score
7,830
wakuu kuna movie mpya inatamba kwasasa inaitwa sisu. Ni movie nzuri ila ina uongo wa kushato wazee.

Kwanza mzee sisu anazuia risasi kwa bakuli la bati sijui, anazama ndani ya maji na kuvuta pumzi ya maiti bila kufa. Ananyongwa na wanajeshi wa nazi usiku kucha lakini asubuhi bado ni mzima.

Farasi aliyembeba mzee sisu anakanyaga bomu na kulipuka huku farasi akisambaratika vipande mia 3 lakini mzee sisu ni mzima wa afya🤣

Mwishoni mzee sisu akiwa ndani ya ile ndege ya maadui, ndege inadondoka rubani anafariki lakini mzee sisu anatoka akiwa mzima na kuelekea kwa sonara kuuza dhahabu yake🤣🤣 yaani hajavunjika hata nywele.

Hivi kuna movie kwasasa inaizidi hii kwa uongo?
 
Jamaa aliongea mara moja kwenye nzima.
Aliponyongwa alitumia kidonda cha risasi kujichomeka ili kitanzi kilegee akawa ana hang tuu..
Yule dingi ali DEFY DEATH..
Na wapo watu wa ivyo yaani inakuwa luck by chance
 
Kama ya kihindi wala haihitaji lawama.

Muhindi kuku-actia movie anadaka risasi na meno ni kugusa tu hao jamaa kwa magumashi kwenye film zao hawakuanza leo.
Sani deo yule aliipigia scania teke ikazunguka manyinya zake sani deo..babaake zarimenda alimpiga jamaa kofi la utosi akazama ardhini..
Wahindi ndo mana mkifa mnachomwa moto
 
Kama muvi la KIHINDI basi mzee baba we elewa hivyohivyo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
wakuu kuna movie mpya inatamba kwasasa inaitwa sisu. Ni movie nzuri ila ina uongo wa kushato wazee.

Kwanza mzee sisu anazuia risasi kwa bakuli la bati sijui, anazama ndani ya maji na kuvuta pumzi ya maiti bila kufa. Ananyongwa na wanajeshi wa nazi usiku kucha lakini asubuhi bado ni mzima.

Farasi aliyembeba mzee sisu anakanyaga bomu na kulipuka huku farasi akisambaratika vipande mia 3 lakini mzee sisu ni mzima wa afya🤣

Mwishoni mzee sisu akiwa ndani ya ile ndege ya maadui, ndege inadondoka rubani anafariki lakini mzee sisu anatoka akiwa mzima na kuelekea kwa sonara kuuza dhahabu yake🤣🤣 yaani hajavunjika hata nywele.

Hivi kuna movie kwasasa inaizidi hii kwa uongo?
 
wakuu kuna movie mpya inatamba kwasasa inaitwa sisu. Ni movie nzuri ila ina uongo wa kushato wazee.

Kwanza mzee sisu anazuia risasi kwa bakuli la bati sijui, anazama ndani ya maji na kuvuta pumzi ya maiti bila kufa. Ananyongwa na wanajeshi wa nazi usiku kucha lakini asubuhi bado ni mzima.

Farasi aliyembeba mzee sisu anakanyaga bomu na kulipuka huku farasi akisambaratika vipande mia 3 lakini mzee sisu ni mzima wa afya🤣

Mwishoni mzee sisu akiwa ndani ya ile ndege ya maadui, ndege inadondoka rubani anafariki lakini mzee sisu anatoka akiwa mzima na kuelekea kwa sonara kuuza dhahabu yake🤣🤣 yaani hajavunjika hata nywele.

Hivi kuna movie kwasasa inaizidi hii kwa uongo?
Nimejaribu kuitafuta telegram sijaipata na omba link ya ku-download
 
Back
Top Bottom