Eswa
JF-Expert Member
- Dec 14, 2012
- 231
- 617
🤣🤣🤣🤣🤣🤣[emoji81][emoji81][emoji81]View attachment 2634298
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣[emoji81][emoji81][emoji81]View attachment 2634298
Kiukweli najuta Sana kuharibu mb 800 zangu... Uongo mwingine wa SISU ni huu hapa..wakuu kuna movie mpya inatamba kwasasa inaitwa sisu. Ni movie nzuri ila ina uongo wa kushato wazee.
Kwanza mzee sisu anazuia risasi kwa bakuli la bati sijui, anazama ndani ya maji na kuvuta pumzi ya maiti bila kufa. Ananyongwa na wanajeshi wa nazi usiku kucha lakini asubuhi bado ni mzima.
Farasi aliyembeba mzee sisu anakanyaga bomu na kulipuka huku farasi akisambaratika vipande mia 3 lakini mzee sisu ni mzima wa afya[emoji1787]
Mwishoni mzee sisu akiwa ndani ya ile ndege ya maadui, ndege inadondoka rubani anafariki lakini mzee sisu anatoka akiwa mzima na kuelekea kwa sonara kuuza dhahabu yake[emoji1787][emoji1787] yaani hajavunjika hata nywele.
Hivi kuna movie kwasasa inaizidi hii kwa uongo?
Exactly..angekuwa mwingine anakata tamaa utaskia namuachia Mungu sijui haikuwa rizki...Sisu kagoma unyonge kapambania jasho lake hadi kimeelewekaNi wachache sana wanaweza kung'amua dhima ya hii movie..... Walimaanisha, Kila kitu kinawezekana! Na hakuna kukata tamaa. Think big hommie.
hahaa ivi mwishoni anaonekana na mbwa,sijui alimpataje wakati hakupanda ndegeAfu wanaweza kupotezana na mbwa wake lakini akirudi kwenye tukio unamuona na mbwa wake yaani kirahisi mno
zile suti ni bulletproof,jamaa movie nzima anamwaga tu njuguKuna john wick chapter 4, mtu anakula risasi 10 ndio anakubali kukata moto
Hahahahaha dah hiyo SiSU itabidi niitafute nicheke niongeze Siku za kuishi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbwa wa Sisu mara awe mdogo mara awe mkubwa [emoji23], kilichokuja kuniua zaidi ni kutumia shoka kuning'inia kwenye ndege [emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hahaa ivi mwishoni anaonekana na mbwa,sijui alimpataje wakati hakupanda ndege
🤣 🤣 umenikumbusha CinemaSinsKuna john wick chapter 4, mtu anakula risasi 10 ndio anakubali kukata moto
Wamevaa bullet proof suits.Kuna john wick chapter 4, mtu anakula risasi 10 ndio anakubali kukata moto
Nadhan hii muvi haina uongo kivlee icpokuwa Ni ufundi tu pia umesema baadhi ya matukio ya kwny Ile ambyo Ni ya uongo ukiweza Rudi Tena kaiangalie Ile muvi then uje tujadili,wakuu kuna movie mpya inatamba kwasasa inaitwa sisu. Ni movie nzuri ila ina uongo wa kushato wazee.
Kwanza mzee sisu anazuia risasi kwa bakuli la bati sijui, anazama ndani ya maji na kuvuta pumzi ya maiti bila kufa. Ananyongwa na wanajeshi wa nazi usiku kucha lakini asubuhi bado ni mzima.
Farasi aliyembeba mzee sisu anakanyaga bomu na kulipuka huku farasi akisambaratika vipande mia 3 lakini mzee sisu ni mzima wa afya[emoji1787]
Mwishoni mzee sisu akiwa ndani ya ile ndege ya maadui, ndege inadondoka rubani anafariki lakini mzee sisu anatoka akiwa mzima na kuelekea kwa sonara kuuza dhahabu yake[emoji1787][emoji1787] yaani hajavunjika hata nywele.
Hivi kuna movie kwasasa inaizidi hii kwa uongo?