SISU ni movie inayoongoza kwa uongo duniani

SISU ni movie inayoongoza kwa uongo duniani

Dah hapo walizingua kumbuka hakujipanga na tukio la hivo coz ni dakika chache akitoka kunusurika kifo cha bomu
Nenda kaangalie tena mkuu,mzee alikua tayar kashajua nini afanye

Yaaan mtu anaona kabisa jamaa wanataka kumshoot, anaokota jiwe ili aweze kujiokoa kwa tehnique matata sana
Anatumia jiwe kulenga bomu na bomu linalipuka halafu useme asijiandae na kujikinga risasi?
 
wakuu kuna movie mpya inatamba kwasasa inaitwa sisu. Ni movie nzuri ila ina uongo wa kushato wazee.

Kwanza mzee sisu anazuia risasi kwa bakuli la bati sijui, anazama ndani ya maji na kuvuta pumzi ya maiti bila kufa. Ananyongwa na wanajeshi wa nazi usiku kucha lakini asubuhi bado ni mzima.

Farasi aliyembeba mzee sisu anakanyaga bomu na kulipuka huku farasi akisambaratika vipande mia 3 lakini mzee sisu ni mzima wa afya[emoji1787]

Mwishoni mzee sisu akiwa ndani ya ile ndege ya maadui, ndege inadondoka rubani anafariki lakini mzee sisu anatoka akiwa mzima na kuelekea kwa sonara kuuza dhahabu yake[emoji1787][emoji1787] yaani hajavunjika hata nywele.

Hivi kuna movie kwasasa inaizidi hii kwa uongo?
Kwanza nkujuze huyu mzee haitwi sisu mwanzo kabisa movie inapoanza wameeleza maana ya neno sisu kwamba ni courage mtu anayoipata baada ya kupoteza kila kitu ukiitizama kwa namna hiyo Luna jambo utajifunza katika maisha yako ya kila siku ya utafutaji shida sijui mnaangaliaje hizi movie asee
 
Kuna watu mna muda wa kupoteza
Movie za kids hao wa likizo
 
Nadhan hii muvi haina uongo kivlee icpokuwa Ni ufundi tu pia umesema baadhi ya matukio ya kwny Ile ambyo Ni ya uongo ukiweza Rudi Tena kaiangalie Ile muvi then uje tujadili,
Mfno Yule rubani alishambuliwa kwa risasi b4 ndege kuanguka.
Wakati Sisu amenyongwa aligeza ule ubao ikainama then akajichoma na nondo iliyokuwa kwny mbao ili apate balansi ya mwili asife.
Farasi kulipuka then yy asife ilitegemea na uwezo wa bomu husika.
Halikuwa bakuli la bati alilo jikinga nalo Ni Kama mfano wa ngao ngumu.
Asante.
Kwamba risasi zililenga ngao peke yake?

Sent from my Infinix X697 using JamiiForums mobile app
 
Nilivosikia inasifiwa kwenye mitandao ya kijamii nikajua bonge moja la movie nikasema ngoja niipakue, mwisho wa siku niliishia kui-forward ili iishe haraka.
 
Ukitaka uonyeshwe kila kitu movie itakua na zaidi ya masaa sita....

kama umeangalia kwa makini,kuna wakati Mzee sisu alikua anachimba zak mashimo ya dhahabu lakini akawa anasikia sauti za risasi na mabomu yakilipuka...zile sauti za mabomu maana yake ni wanajeshi waliokuwa wanalipuka kwenye mapigano na ndo uko uko ndo kulikua na mine field

Aya nakurejesha tena,wakati Sisu anapishana na ule msafara,jamaa alitaka kumshoot lakini akakatazwa na kuambiwa kwamba haina haja maana uelekeo anaoenda Sisu ni kama anajipeleka mwenyewe kwenye kifo,maana yake ule msafara ulishatoka uko kufanya maanagmizi na kuwaua watu wote kwenye ayo mapigano, Conclusion ni kwamba yawezekana ile ngao mzee Sisu aliipata kwenye mabaki ya wale watu waliouliwa na ule msafara

Au ulitaka mpaka wakuonyeshe jinsi anavyoiokota iyo ngao ?[emoji28]
Dah hapo walizingua kumbuka hakujipanga na tukio la hivo coz ni dakika chache akitoka kunusurika kifo cha bomu
Movie inaanza Mzee anaosha mawe kwa kutumia Karai ili apate gold!! Hilo Karai analifunga kwenye farasi, baada ya farasi kukanyaga bomu, karai linakua ngao.
 
Chapter three" the legend ..... wame elezea kuwa jamaa aliua 300 Russian soldiers... he is a lone soldier who don't take orders from anybody but himself"
 
Mm naomba anieleweshe mzee sisu kwa nini hakunyongeka pale aliponinginizwa mda wote ule?
 
Unaijua:

Sharkado

1000104664.jpg
 
Hii movie uongo ulizidi jaman kweli kuna mtu anawez kukaaa ndani ya maji dadkk zaid y 8 afu akanyongwa an usiku mzima amening'inia kwnye kitanzi bila kufa an haiingii akilini kabisa mara ajikinge na risas kwa kutumia mwili wa mtu mwingine na ukiangalia risas iliyotumika mzeeee ni bonge La Silaha oyaaaaaa ni nzuri lakin haina reality

Kuna watu wanakaa mpk dk 45 mkuu na zaid ya hapo
 
Mm naomba anieleweshe mzee sisu kwa nini hakunyongeka pale aliponinginizwa mda wote ule?

Hio mpk general alimeza mate na kikosi kizima kiliogopa baada ya kuona ile kamba [emoji23][emoji23]afu yule sniper akazidisha kusema ndio hio hio aliitumia kumnyongea [emoji23][emoji23]
 
wakuu kuna movie mpya inatamba kwasasa inaitwa sisu. Ni movie nzuri ila ina uongo wa kushato wazee.

Kwanza mzee sisu anazuia risasi kwa bakuli la bati sijui, anazama ndani ya maji na kuvuta pumzi ya maiti bila kufa. Ananyongwa na wanajeshi wa nazi usiku kucha lakini asubuhi bado ni mzima.

Farasi aliyembeba mzee sisu anakanyaga bomu na kulipuka huku farasi akisambaratika vipande mia 3 lakini mzee sisu ni mzima wa afya🤣

Mwishoni mzee sisu akiwa ndani ya ile ndege ya maadui, ndege inadondoka rubani anafariki lakini mzee sisu anatoka akiwa mzima na kuelekea kwa sonara kuuza dhahabu yake🤣🤣 yaani hajavunjika hata nywele.

Hivi kuna movie kwasasa inaizidi hii kwa uongo?
Na ndio synopsis inasema ivo, Sisu maana yake huyo "old commando " Ali refuse kufa
 
Back
Top Bottom