Sambusa kavu
JF-Expert Member
- May 4, 2015
- 806
- 1,296
Nenda kaangalie tena mkuu,mzee alikua tayar kashajua nini afanyeDah hapo walizingua kumbuka hakujipanga na tukio la hivo coz ni dakika chache akitoka kunusurika kifo cha bomu
Yaaan mtu anaona kabisa jamaa wanataka kumshoot, anaokota jiwe ili aweze kujiokoa kwa tehnique matata sana
Anatumia jiwe kulenga bomu na bomu linalipuka halafu useme asijiandae na kujikinga risasi?