SISU ni movie inayoongoza kwa uongo duniani

SISU ni movie inayoongoza kwa uongo duniani

Nadhan hii muvi haina uongo kivlee icpokuwa Ni ufundi tu pia umesema baadhi ya matukio ya kwny Ile ambyo Ni ya uongo ukiweza Rudi Tena kaiangalie Ile muvi then uje tujadili,
Mfno Yule rubani alishambuliwa kwa risasi b4 ndege kuanguka.
Wakati Sisu amenyongwa aligeza ule ubao ikainama then akajichoma na nondo iliyokuwa kwny mbao ili apate balansi ya mwili asife.
Farasi kulipuka then yy asife ilitegemea na uwezo wa bomu husika.
Halikuwa bakuli la bati alilo jikinga nalo Ni Kama mfano wa ngao ngumu.
Asante.
Hiyo ngao aliitoa wapi maana kabla ya kushambuliwa hakua nayo
 
Screenshot_20230529-132100_OnStream.jpg
Screenshot_20230529-132100_OnStream.jpg
review positive zipo zakutosha, inaonekana nzuri tu japo sijaiona
 
Sani deo yule aliipigia scania teke ikazunguka manyinya zake sani deo..babaake zarimenda alimpiga jamaa kofi la utosi akazama ardhini..
Wahindi ndo mana mkifa mnachomwa moto
Hahahaa... kwa uongo hawajambo.
 
wakuu kuna movie mpya inatamba kwasasa inaitwa sisu. Ni movie nzuri ila ina uongo wa kushato wazee.

Kwanza mzee sisu anazuia risasi kwa bakuli la bati sijui, anazama ndani ya maji na kuvuta pumzi ya maiti bila kufa. Ananyongwa na wanajeshi wa nazi usiku kucha lakini asubuhi bado ni mzima.

Farasi aliyembeba mzee sisu anakanyaga bomu na kulipuka huku farasi akisambaratika vipande mia 3 lakini mzee sisu ni mzima wa afya🤣

Mwishoni mzee sisu akiwa ndani ya ile ndege ya maadui, ndege inadondoka rubani anafariki lakini mzee sisu anatoka akiwa mzima na kuelekea kwa sonara kuuza dhahabu yake🤣🤣 yaani hajavunjika hata nywele.

Hivi kuna movie kwasasa inaizidi hii kwa uongo?
Haiifikii movie inayoitwa Mothers day. Mtu anapigwa ngumi inamrusha juu kichalichali mpaka viatu vyote vinamvuka vizuri akiwa hewani utadhani amechomolewa hivyo viatu!
 
Huo uwongo ndio umefanya movie iwe kali....afu kama hupendi uongo kuna aina za movie za kuangalia,vinginevo ni ushamba kulalamikia uwongo kwenye movie ya action, science fiction movies
 
Ila wazungu wanajua kusupport vyakwao,movie zao nyingi zinakua na +ve review na rate kubwa hata kama movies zakijinga ,movies za watu weusi utakuta nyingine kali ila check rate zao,,,
 
Kuna hii movie ya Cleopatra imefanya vibaya kisa mwanamke aliwekwa ni mweusi na walisababisha hivo ni wamisri, eti wanataka itolewe na wapewe 2b noma
 
Hii movie uongo ulizidi jaman kweli kuna mtu anawez kukaaa ndani ya maji dadkk zaid y 8 afu akanyongwa an usiku mzima amening'inia kwnye kitanzi bila kufa an haiingii akilini kabisa mara ajikinge na risas kwa kutumia mwili wa mtu mwingine na ukiangalia risas iliyotumika mzeeee ni bonge La Silaha oyaaaaaa ni nzuri lakin haina reality
 
Hiyo ngao aliitoa wapi maana kabla ya kushambuliwa hakua nayo
Ukitaka uonyeshwe kila kitu movie itakua na zaidi ya masaa sita....

kama umeangalia kwa makini,kuna wakati Mzee sisu alikua anachimba zak mashimo ya dhahabu lakini akawa anasikia sauti za risasi na mabomu yakilipuka...zile sauti za mabomu maana yake ni wanajeshi waliokuwa wanalipuka kwenye mapigano na ndo uko uko ndo kulikua na mine field

Aya nakurejesha tena,wakati Sisu anapishana na ule msafara,jamaa alitaka kumshoot lakini akakatazwa na kuambiwa kwamba haina haja maana uelekeo anaoenda Sisu ni kama anajipeleka mwenyewe kwenye kifo,maana yake ule msafara ulishatoka uko kufanya maanagmizi na kuwaua watu wote kwenye ayo mapigano, Conclusion ni kwamba yawezekana ile ngao mzee Sisu aliipata kwenye mabaki ya wale watu waliouliwa na ule msafara

Au ulitaka mpaka wakuonyeshe jinsi anavyoiokota iyo ngao ?😅
 
Ukitaka uonyeshwe kila kitu movie itakua na zaidi ya masaa sita....

kama umeangalia kwa makini,kuna wakati Mzee sisu alikua anachimba zak mashimo ya dhahabu lakini akawa anasikia sauti za risasi na mabomu yakilipuka...zile sauti za mabomu maana yake ni wanajeshi waliokuwa wanalipuka kwenye mapigano na ndo uko uko ndo kulikua na mine field

Aya nakurejesha tena,wakati Sisu anapishana na ule msafara,jamaa alitaka kumshoot lakini akakatazwa na kuambiwa kwamba haina haja maana uelekeo anaoenda Sisu ni kama anajipeleka mwenyewe kwenye kifo,maana yake ule msafara ulishatoka uko kufanya maanagmizi na kuwaua watu wote kwenye ayo mapigano, Conclusion ni kwamba yawezekana ile ngao mzee Sisu aliipata kwenye mabaki ya wale watu waliouliwa na ule msafara

Au ulitaka mpaka wakuonyeshe jinsi anavyoiokota iyo ngao ?[emoji28]
Dah hapo walizingua kumbuka hakujipanga na tukio la hivo coz ni dakika chache akitoka kunusurika kifo cha bomu
 
Back
Top Bottom