Sitachangia Uzi wowote kwa Lugha ya kiswahili

moja kati ya tip iliyoniimprove lugha ya wakoloni ni
"Think in english"!
kwa mara ya kwanza niliona kama ni upuuzi lkn tofauti..!

muda mwingi tunapokuwa tunawaza huwa tunatumia lugha mama ktk kuwazi yani unakuwa unawaza kwa kuzungumza lugha uloizoea mf kiswa n.k
so unachotakiwa ni kubadili uwe unawaza in english language! ni ngumu lkn inasaidia sana.
chengine kama umeshindwa kuelewa neno na unataka maana yake angalia ktk lugha hiyohiyo sio english to swahil no,english to english lbd neno likushinde kbs.
penda kusoma makala za lugha husika,sikiliza na utambue namna ya kupronaunsi maneno husika. yangu hayo bado napambana na hali yangu!
 
Masalia ya ukoloni!

If you know your enemy than yourself you shall never suffer a defeat
 
Masalia ya ukoloni!

If you know your enemy than yourself you shall never suffer a defeat
That is you're point chief but not my intention therefore you're point is pointless in my side.
 
Hivi nikiandika ‘To make a long story short’ badala ya ‘To make the long story short’ nitakuwa nimekosea?
Nisawa na kutembea ukiwa unarudi nyuma.....
Ingawa watakao kutazama huku wakiwa na mwendo kasi, wataona unatembea..[emoji13] [emoji13]
 
huu uzi tayari ushaharibika..totaly confused
 
Yaani kwakuonyesha msisitizo hata hapa unge andika ung'eng'e mwanzo mwisho,

Japo umekumbuka shuka kumekucha, ila sio mbaya, lugha zote ni sawa , ukikwama kwama niambie nikuandikie
 
Nisawa na kutembea ukiwa unarudi nyuma.....
Ingawa watakao kutazama huku wakiwa na mwendo kasi, wataona unatembea..[emoji13] [emoji13]

[emoji23][emoji23][emoji23]

Sijakusoma mkuu Ushimen. Unaweza kunielezea kwa kutumia layman language? [emoji851]
 
Masalia ya ukoloni!

If you know your enemy than yourself you shall never suffer a defeat
Currently / modern English
First person pronouns, whether singular or plural, make use of ..I/ will + shall....
He / she/ it / they + will....( for the second and third personal pronouns,in singular and plural ) .
English language is international
You can't get rid of it, dude!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…