Hii nafasi yangu kabisa,njoo pm tuyamalize,makanda mkono juuNi mwanamke ambae naweza kuishi na familia yangu, najipenda na kujiheshimu,mapenzi yangu makubwa ni kwa manaume anae jiheshimu na kujitambua yeye kama mwanaume
Kama una sifa sahii za kuitwa manaume unakaribishwa
Umri kuanzia miaka 30 ----40
Dini yoyote
Awe na akili ya kutafuta
Mcha mungu
Mrefu
Akiwa mwana jeshi au police atapewa kipao mbele
Pia awe ana chembe za biashara
Awe na upendo na familia yake
Asiwe mweupe
Sikuitaji kuandika vigezo ila nimeambiwa niandike
Karibu inbox
Ni mwanamke ambae naweza kuishi na familia yangu, najipenda na kujiheshimu,mapenzi yangu makubwa ni kwa manaume anae jiheshimu na kujitambua yeye kama mwanaume
Kama una sifa sahii za kuitwa manaume unakaribishwa
Umri kuanzia miaka 30 ----40
Dini yoyote
Awe na akili ya kutafuta
Mcha mungu
Mrefu
Akiwa mwana jeshi au police atapewa kipao mbele
Pia awe ana chembe za biashara
Awe na upendo na familia yake
Asiwe mweupe
Sikuitaji kuandika vigezo ila nimeambiwa niandike
Karibu inbox
Sisi wafupi tayari tumekosa fursaNi mwanamke ambae naweza kuishi na familia yangu, najipenda na kujiheshimu,mapenzi yangu makubwa ni kwa mwanaume anae jiheshimu na kujitambua yeye kama mwanaume
Kama una sifa sahii za kuitwa mwanaume unakalibishwa
Umri kuanzia miaka 30 ----40
Dini yoyote
Awe na akili ya kutafuta
Mcha mungu
Mrefu
Pia awe ana chembe za biashara
Awe na upendo na familia yake
Asiwe mweupe
Sikuitaji kuandika vigezo ila nimeambiwa niandike
Karibu inbox
Mwenyewe pamenigusa kweli maana nimetoka kuweka bandiko kama hili soon naona na naye kapanda na uzi kama wangu umri ndo unatutenganisha tuKatika vipengele vyote nimependa hapo kwenye chembechembe za biashara.
I can see wewe ni mwanamke makini sana.
Mkuu swala lako nalifanyia kazi bado nataka dada aridhie kwanza usione nimekupotezeaMbona tangazo kama la kwangu sema umri tu ndo tunatofautiana.....