kituna
Member
- Oct 6, 2018
- 27
- 67
Ni mwanamke ambae naweza kuishi na familia yangu, najipenda na kujiheshimu,mapenzi yangu makubwa ni kwa mwanaume anae jiheshimu na kujitambua yeye kama mwanaume
Kama una sifa sahii za kuitwa mwanaume unakalibishwa
Umri kuanzia miaka 30 ----40
Dini yoyote
Awe na akili ya kutafuta
Mcha mungu
Mrefu
Pia awe ana chembe za biashara
Awe na upendo na familia yake
Asiwe mweupe
Sikuitaji kuandika vigezo ila nimeambiwa niandike
Karibu inbox
Kama una sifa sahii za kuitwa mwanaume unakalibishwa
Umri kuanzia miaka 30 ----40
Dini yoyote
Awe na akili ya kutafuta
Mcha mungu
Mrefu
Pia awe ana chembe za biashara
Awe na upendo na familia yake
Asiwe mweupe
Sikuitaji kuandika vigezo ila nimeambiwa niandike
Karibu inbox