LaplaceTransformation
JF-Expert Member
- Mar 21, 2017
- 776
- 677
Hujanitendea haki kabisa, njoo pm.Wanaume wa jf hakuna mabachera ngoja nikatoe furusa kwengine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujanitendea haki kabisa, njoo pm.Wanaume wa jf hakuna mabachera ngoja nikatoe furusa kwengine.
Mrudishe yule aliyekuharibia nguo[emoji23][emoji23]Sina mwanamke. Ningekuwa nimetulia na wife wangu ndani saiviYani natia hurumaa.
Ngoja nitulizane tuuu kwanza. Mimi mwenyewe sijwai panda fastjet. Huyu mwanamke amejua kunikomeshaMrudishe yule aliyekuharibia nguo[emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3]stress mbaya sanaMbona mateso sn kwako mama ni nini shida?
Hujanitendea haki kabisa, njoo pm.
Aah aisee ni anapata shida dada.Mbona hata sie tunazo but tunajikaza[emoji3][emoji3]stress mbaya sana
Kwani ana nini mkuu? Nidadavulie kidogo !!!Utakufa kihoro broo
Humu sisi watinduaji tuWanaume wa jf hakuna mabachera ngoja nikatoe furusa kwengine.
Kwani ana nini mkuu? Nidadavulie kidogo !!!
Ye kashindwa kujikaza ndo anazitolea apaAah aisee ni anapata shida dada.Mbona hata sie tunazo but tunajikaza
[emoji23][emoji23]Hapana jamani uwiiiiiiNgoja nitulizane tuuu kwanza. Mimi mwenyewe sijwai panda fastjet. Huyu mwanamke amejua kunikomesha
Basi tutakoma ati!Ye kashindwa kujikaza ndo anazitolea apa
[emoji23][emoji23]
Mbona hata humu ni mtaa wangu, nashinda humu. Ila naona kama hana mpango wa kuja pm .Kwanini usitate mtaani kwenu
Nakuaapia boss. Dem wa JF mpaka aone wewe ni High life ndo aanze ukaribu na weweMbona hata humu ni mtaa wangu, nashinda humu. Ila naona kama hana mpango wa kuja pm .
Hii ninaikubali.Kama huna hela hupati mwanamke humuNakuaapia boss. Dem wa JF mpaka aone wewe ni High life ndo aanze ukaribu na wewe
Hii ninaikubali.