Sitafuti mume ila anayehitaji mke asome

Baadhi yetu tumekuwa tunaishi tu. Hatuna mpenzi. Hatujaribu umalaya. Hatumpendi mtu. Hakuna anayetupenda. Tunajishughulisha tu na kazi zetu, tunakula, tunalala, na kuishi maisha yanasonga kiulaiiini.
 
Baadhi yetu tumekuwa tunaishi tu. Hatuna mpenzi. Hatujaribu umalaya. Hatumpendi mtu. Hakuna anayetupenda. Tunajishughulisha tu na kazi zetu, tunakula, tunalala, na kuishi maisha yanasonga kiulaiiini.
 
Hii post kila thread
Baadhi yetu tumekuwa tunaishi tu. Hatuna mpenzi. Hatujaribu umalaya. Hatumpendi mtu. Hakuna anayetupenda. Tunajishughulisha tu na kazi zetu, tunakula, tunalala, na kuishi maisha yanasonga kiulaiiini.
 
Mbwembwe ulizonazo hapo unaweza ukawa umemaliza kugongea msosi kwa jirani yako. Unajichetua kuwa na M300
Nina m300 nataka nipate mume wa kuzindesha maana Kwa Sasa kila ninacho fanya kinagoma nahofia kupoteza kabisa pesa yangu.

Nimeamua kuwa muwazi lengo la kuhitaji mwenza mwenye uhitaji.

Awe tayari tuishi mwezi wa kwanza

Sifa soma post iliyo pita
 
Aisee ulikuwa wife material wangu kabisa sema kigezo kimoja tu ndio umeyumba.


Tatizo hilo la kuwa na m300 fanya kuzimaliza kwanza baada ya hapo njoo pm mama upate tulizo la moyo wako
 
Si kuna uzi mtu analalamika anakutana na tegemezi daily??, em' mtag chapu
 
Muda mwingine muache utani kama una tafuta bwana acha mambo ya utani utani, tupo wanaume kibao humu hatujaowa
 
Ukianza kufikiria hivyo ndio basi tena, hatuji kula pilau wala soda...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…