Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na nyie anzeni kutafuta wanaume acheni kusubiri hadi mtongozweWanaume wa jf hakuna mabachera ngoja nikatoe furusa kwengine.
Kuja hapaa..!Wanaume wa jf hakuna mabachera ngoja nikatoe furusa kwengine.
Wapo sanaa hujapata wa kumatch nae
Ahahahhahahahaha ndio atapata sababu ya kujifunza[emoji3][emoji3] Mara adondokee kule vitani.
Baadhi yetu tumekuwa tunaishi tu. Hatuna mpenzi. Hatujaribu umalaya. Hatumpendi mtu. Hakuna anayetupenda. Tunajishughulisha tu na kazi zetu, tunakula, tunalala, na kuishi maisha yanasonga kiulaiiini.
Tushasema wanawake acheni kutongoza, tutaanza kulinga na ssNina m300 nataka nipate mume wa kuzindesha maana Kwa Sasa kila ninacho fanya kinagoma nahofia kupoteza kabisa pesa yangu.
Nimeamua kuwa muwazi lengo la kuhitaji mwenza mwenye uhitaji.
Awe tayari tuishi mwezi wa kwanza
Sifa soma post iliyo pita
Nina m300 nataka nipate mume wa kuzindesha maana Kwa Sasa kila ninacho fanya kinagoma nahofia kupoteza kabisa pesa yangu.
Nimeamua kuwa muwazi lengo la kuhitaji mwenza mwenye uhitaji.
Awe tayari tuishi mwezi wa kwanza
Sifa soma post iliyo pita
Wasojulikana hawawez kuwa ma akil mbovu Ka izoWatu wasiojulikana katika ubora wao