Bora umenisaidia
Chura ipo?
nmefanya jokes ila kama mtu nmemkosea anisamehe. sina dada ambaye ni bikra.Mkuu mbona maneno yako makali sana. Je dada zako wote ni mabikra??? Be gentle
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mzee mbona unanilazimisha pa kufungua...me kama upepo popote napenya tuHapana bwana.Mnachofanya sio fresh.
Fungua jukwaa la mapishi hutakereka ujifunze kupika kalmati Na sambusa.
Unadhani MTU aliyepata dhoruba ya vyeti feko Na Kuhifadhiwa kwa Shemeji Na kaomba omba Pesa za vocha kupata Mb atamalizia wapi Stress kama sio hapa..Mkuu mbona maneno yako makali sana. Je dada zako wote ni mabikra??? Be gentle
Na kwenye red carpet kwa kweli ni shidaWatu hawajui tu Wanaume wafupi jamani wanaupendo kama wote sema tu ile kuongozana Ndo inakuwaga shida
Sijakataaa..[emoji23] [emoji23] [emoji23] mzee mbona unanilazimisha pa kufungua...me kama upepo popote napenya tu
sory bro, nmeshaifuta.kauli hii ni mbaya mkuu
nami nafuta nilipo quotesory bro, nmeshaifuta.
But kuna ufupi Na ufupi.Na kwenye red carpet kwa kweli ni shida
Hili nalo nenoSifa ninazo Una mtaji wa biashara?
nilipost ujinga kuhusu hi mada na mtoa mada mwenyewe.
kwa yoyote aliyeiona na kumkwaza naomba anisamehe na tyr nmeomba kuifuta hy post.
mtoa mada naona uligonga 'like' lkn nlikukosea nsamehe