Sitafuti mume ila anayehitaji mke asome

Usiwafuatilize hapo.Wengi humu wanastress za vyeti feki.Ndo anajiliwaza hapa..why MTU Povu likutoke la burebure kwa MTU aliyekuja kutafuta mchumba tena jukwaa sahihi..
Ni sawa a mimi niende Jukwaa la mapishi kumkosoa MTU anayeuliza namna ya kupika Chapati eti kwa kuwa tu Mimi najua that is Ridiculous!
Bora umenisaidia
 
Hapana bwana.Mnachofanya sio fresh.
Fungua jukwaa la mapishi hutakereka ujifunze kupika kalmati Na sambusa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mzee mbona unanilazimisha pa kufungua...me kama upepo popote napenya tu
 
Unachura???
Unajua kupika??

Mi vigezo vyangu kwa.mke ndio hivyo mwngine tutarekebishana
 
Mke/mume ambaye utamkabizi maisha yako hawatafutwi hivi; tumia njia ya kutafuta marafiki na huko ndio mtajuana zaidi anafaa kuwa mke/mume au hafai. mke/mume sio sex ni zaidi ya hapo....waliojitambua wamenielewa.
 
Mkuu mbona maneno yako makali sana. Je dada zako wote ni mabikra??? Be gentle
Unadhani MTU aliyepata dhoruba ya vyeti feko Na Kuhifadhiwa kwa Shemeji Na kaomba omba Pesa za vocha kupata Mb atamalizia wapi Stress kama sio hapa..
Umeshaambiwa Love connect.Why una muattack MTU asiyekukosea Na ambaye yupo jukwaa sahihi.
Kuna watu wanaBoa mpaka unahisi vinyweleo kusimama
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mzee mbona unanilazimisha pa kufungua...me kama upepo popote napenya tu
Sijakataaa..
Kosa lako unmkatisha MTU tamaa asiye Na kosa.Wkt Kaja jukwaa sahihi
Au Ndo unaona Raha.
 
Na kwenye red carpet kwa kweli ni shida
But kuna ufupi Na ufupi.
Ule ufupi wa Rais Chiluba wa Zambia hapana.
Walau mlingane au anizidi Kidogo.
Ila wafupi ni wasweeeet sana.
 
nilipost ujinga kuhusu hi mada na mtoa mada mwenyewe.
kwa yoyote aliyeiona na kumkwaza naomba anisamehe na tyr nmeomba kuifuta hy post.
mtoa mada naona uligonga 'like' lkn nlikukosea nsamehe
 
Duh basi bwana nina sifa zote, and nahitaji mke wa pili, nipo more than serious kama upo na ridhaa mi nipo tauari
 
Ngoja nitafute ulichoandika.But you are forgiven.Wewe u mwema.
nilipost ujinga kuhusu hi mada na mtoa mada mwenyewe.
kwa yoyote aliyeiona na kumkwaza naomba anisamehe na tyr nmeomba kuifuta hy post.
mtoa mada naona uligonga 'like' lkn nlikukosea nsamehe
 
nasubir akisem basi yoyote vigezo havizingatiwi ntakuj PM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…