pokrei
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 510
- 454
Usiwafuatilize hapo.Wengi humu wanastress za vyeti feki.Ndo anajiliwaza hapa..why MTU Povu likutoke la burebure kwa MTU aliyekuja kutafuta mchumba tena jukwaa sahihi..
Ni sawa a mimi niende Jukwaa la mapishi kumkosoa MTU anayeuliza namna ya kupika Chapati eti kwa kuwa tu Mimi najua that is Ridiculous!
Ni sawa a mimi niende Jukwaa la mapishi kumkosoa MTU anayeuliza namna ya kupika Chapati eti kwa kuwa tu Mimi najua that is Ridiculous!
Bora umenisaidia