Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Kufanikisha atafanikisha,ila 'in long run' kutakuwa na changamoto nyingi,kama baadhi ya mambo hayatakuwa sawa.mke/mume ni zaidi ya se.xBut amini usiamini.Anaweza akambahatisha..
Asikate tamaa
Chance zipo.
mtumeeeeeeeeeeeeeh kumbe we ni binti muzur muzur.I'm Female
Yes friendKufanikisha atafanikisha,ila 'in long run' kutakuwa na changamoto nyingi,kama baadhi ya mambo hayatakuwa sawa.mke/mume ni zaidi ya se.x
Haaaa haaaaaa Bro tena??mtumeeeeeeeeeeeeeh kumbe we ni binti muzur muzur.
nsamehe bro
Umri ushaenda sasa unatafuta mitandaoni
daaa yn ht sielewi naona kichwani typing system imekufa.Haaaa haaaaaa Bro tena??
Ni kweli mkuu,nakumbuka wakati mimi natafuta mke zaidi ya miaka 10 iliyopita ilikuwa changamoto;ndio nimemaliza chuo na ninafedha chache za kujikimu,nilikuwa nikiwafuata wadada wananipiga chini sababu sikuwa na future;lakini kwa mapenzi ya mungu nilipata mtu aliyevumilia na tukapambana,hadi leo ndio mke.kwa heshima nikaamua Asset zote na miradi yote tuliyopata ndiye msimamizi mkuu.Cha muhimu ni kupata mtu sahihi mwenye dhamira ya kweli,fedha na mali zinatafutwa kama utu wa kujali upo.Yes friend
Kitu chochote ukikiamulia unapata
Na maombi ni muhimu.
Uvumilivu Ndo sifa kuu.Ni kweli mkuu,nakumbuka wakati mimi natafuta mke zaidi ya miaka 10 iliyopita ilikuwa changamoto;ndio nimemaliza chuo na ninafedha chache za kujikimu,nilikuwa nikiwafuata wadada wananipiga chini sababu sikuwa na future;lakini kwa mapenzi ya mungu nilipata mtu aliyevumilia na tukapambana,hadi leo ndio mke.kwa heshima nikaamua Asset zote na miradi yote tuliyopata ndiye msimamizi mkuu.Cha muhimu ni kupata mtu sahihi mwenye dhamira ya kweli,fedha na mali zinatafutwa kama utu wa kujali upo.
Tatizo kubwa ni uvumilivu,kutaka kujiringanisha na wengine,kutaka kuonekana mambo safi,pamoja na tamaa.Uvumilivu Ndo sifa kuu.
Hili wanawake tunafeli.
Kikubwa uvumilivu
Tatizo kubwa ni uvumilivu,kutaka kujiringanisha na wengine,kutaka kuonekana mambo safi,pamoja na tamaa.
Kaambiwa na waliokuwa wanaandika getini kwao miaka hiyo "MBWA MKALI"Umeambiwa na nani
Mamii utapata.Wengine Wapo kukatisha wenzao tamaa Na kutwa Wapo hapa love connect. huwa najiulizaga kwani majukwaa mengine hawayaoni.
Jf wameweka jukwaa hili kwa kuwa linafaa Na kuna uhitaji Na watu smart wanapata wenza .
Go my Girl.Life is everywhere and with anyone any place .No boundaries.
Na hii imewasababisha wadada wa watu kuchapwachapwa hovyo mwisho wa siku ndoa hakuna;wanafikia kukata tamaa na kuanza kuingia mtandaoni kujaribu bahati.Hili ni Tatizo kubwaaa
Mbona umefunga Pm takuja kwa usafiri upi?Nilisema yoyote wadau wakasema niandike vigezo