Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mods,
Hemu futeni huu upuuzi, hivi huyu mwendawazimu anafanya hili jukwaa ni la wehu kama yeye?
Who cares kama utagombea urais au udiwani?, nenda kamueleze mamaako habari za kipum.bavu hizi.
kwa ufupi ndugu zangu watanzania naombeni ni waambie 2015 sitagombea Ubunge naendelea na dhamira yangu ya Urais, wale mnaonilazimisha naomba ni seme sitabadilisha msimamo wangu, Ikulu lazima niingie2015. Hii ndio habari ya mjini. Wilaya ya KAHAMA ni kwetu na nitapajenga na ninaendelea kupajenga. VIVA Chama cha NCCR-MAGEUZI.
Jina Lako tu Kwanza ndo nakuckia Leo nimejiulza sn ni wa Chama gan kuendelea kidogo ndo nakuta umektaja,,umefunikwa hata na Suggu ni popular,,kwa ufupi ndugu zangu watanzania naombeni ni waambie 2015 sitagombea Ubunge naendelea na dhamira yangu ya Urais, wale mnaonilazimisha naomba ni seme sitabadilisha msimamo wangu, Ikulu lazima niingie2015. Hii ndio habari ya mjini. Wilaya ya KAHAMA ni kwetu na nitapajenga na ninaendelea kupajenga. VIVA Chama cha NCCR-MAGEUZI.
chama chenyewe hicho watu wanakikumbuka?kwa ufupi ndugu zangu watanzania naombeni ni waambie 2015 sitagombea ubunge naendelea na dhamira yangu ya urais, wale mnaonilazimisha naomba ni seme sitabadilisha msimamo wangu, ikulu lazima niingie2015. Hii ndio habari ya mjini. Wilaya ya kahama ni kwetu na nitapajenga na ninaendelea kupajenga. Viva chama cha nccr-mageuzi.
wewe Kisandu ugombee urais wa nchi hii ? Kwanza naona aibu sana kusoma habari hii ! Hivi ni nani ameufanya urais wa Tanzania kuwa kama kichwa cha mwendawazimu kiasi hiki ?
Mods,
Hemu futeni huu upuuzi, hivi huyu mwendawazimu anafanya hili jukwaa ni la wehu kama yeye?
Who cares kama utagombea urais au udiwani?, nenda kamueleze mamaako habari za kipum.bavu hizi.
kwa ufupi ndugu zangu watanzania naombeni ni waambie 2015 sitagombea Ubunge naendelea na dhamira yangu ya Urais, wale mnaonilazimisha naomba ni seme sitabadilisha msimamo wangu, Ikulu lazima niingie2015. Hii ndio habari ya mjini. Wilaya ya KAHAMA ni kwetu na nitapajenga na ninaendelea kupajenga. VIVA Chama cha NCCR-MAGEUZI.
Huyu si tumemtimua juzi tu chadema? CHADEMA hatuhitaji wagonjwa wa akili kama akina Deogratius Kisandu.Ha ha ha ha ha ha ha ha haaaa lako hilo kama si lako la jirani yako CUF,ikulu haipigiw debe mitandaoni njoo CHADEMA,