Elections 2015 Sitagombea ubunge ng'oooo..nautaka urais tu!

Elections 2015 Sitagombea ubunge ng'oooo..nautaka urais tu!

ameniambia anataka urais wa maliberali tanzania ( chadema na cuf)
 
wewe Kisandu ugombee urais wa nchi hii ? Kwanza naona aibu sana kusoma habari hii ! Hivi ni nani ameufanya urais wa Tanzania kuwa kama kichwa cha mwendawazimu kiasi hiki ?

Kama JK kaweza Kisandu atashindwa gombea kaka
 
Kww jinsi ulivyo kichwa maji ulikuwa sahihi kabisa kufukizwa CDM. Hata huko huna muda mrefu kitawaka.
 
Mods,

Hemu futeni huu upuuzi, hivi huyu mwendawazimu anafanya hili jukwaa ni la wehu kama yeye?

Who cares kama utagombea urais au udiwani?, nenda kamueleze mamaako habari za kipum.bavu hizi.

Kwani we na yeye mnatofautiana nini?
Unakuwa mkali kwa mtu mwenye tabia kama zako?
Au haujijui hamy d
 
kwa ufupi ndugu zangu watanzania naombeni ni waambie 2015 sitagombea Ubunge naendelea na dhamira yangu ya Urais, wale mnaonilazimisha naomba ni seme sitabadilisha msimamo wangu, Ikulu lazima niingie2015. Hii ndio habari ya mjini. Wilaya ya KAHAMA ni kwetu na nitapajenga na ninaendelea kupajenga. VIVA Chama cha NCCR-MAGEUZI.

Wewe si mwalimu?
Afu wa watoto wenye matatizo maalumu..
Hakika utakuwa unawaongezea matatizo!
Nawapa pole sana..
 
------- kabisa wewe yaani hii inaweza kuwa breaking new.. wewe sukuma la wapi jinga hivi kama Shibuda tu....
Ndivyo walivyo. Samahani alshakm si matuzi, wasukuma ndo wanakwamisha maendeleo nchi hii. Kwanza ni wengi wamesaambaa nchi nzima lakn mchango wao hulingani na wingi wao. Hebu mtizame chenge, sasa nakuja na kodi ya simu. wasukuma bwana, wanajifanya watawi kumbe magamba (magome ya miti) tu.
 
kwa ufupi ndugu zangu watanzania naombeni ni waambie 2015 sitagombea Ubunge naendelea na dhamira yangu ya Urais, wale mnaonilazimisha naomba ni seme sitabadilisha msimamo wangu, Ikulu lazima niingie2015. Hii ndio habari ya mjini. Wilaya ya KAHAMA ni kwetu na nitapajenga na ninaendelea kupajenga. VIVA Chama cha NCCR-MAGEUZI.

......Aradini na taa ya ajabu........
 
kwa ufupi ndugu zangu watanzania naombeni ni waambie 2015 sitagombea Ubunge naendelea na dhamira yangu ya Urais, wale mnaonilazimisha naomba ni seme sitabadilisha msimamo wangu, Ikulu lazima niingie2015. Hii ndio habari ya mjini. Wilaya ya KAHAMA ni kwetu na nitapajenga na ninaendelea kupajenga. VIVA Chama cha NCCR-MAGEUZI.
KILAZA @ WORK....

huna haja ya kutupigia kelele... fuata taratibu za chama chako kwanza, ndio chama kije kukutangaza humu... pia usisahau kumeza dawa, maana inaonekana umedhuruka sana

silly puke..:boom:
 
kwa ufupi ndugu zangu watanzania naombeni ni waambie 2015 sitagombea Ubunge naendelea na dhamira yangu ya Urais, wale mnaonilazimisha naomba ni seme sitabadilisha msimamo wangu, Ikulu lazima niingie2015. Hii ndio habari ya mjini. Wilaya ya KAHAMA ni kwetu na nitapajenga na ninaendelea kupajenga. VIVA Chama cha NCCR-MAGEUZI.
mkuu vp ulifanikiwa?
 
kwa ufupi ndugu zangu watanzania naombeni ni waambie 2015 sitagombea Ubunge naendelea na dhamira yangu ya Urais, wale mnaonilazimisha naomba ni seme sitabadilisha msimamo wangu, Ikulu lazima niingie2015. Hii ndio habari ya mjini. Wilaya ya KAHAMA ni kwetu na nitapajenga na ninaendelea kupajenga. VIVA Chama cha NCCR-MAGEUZI.
Hivi Huyu Jamaa kashatoka "NYUMA YA NONDO"?
 
Back
Top Bottom