Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mwingine atahitaji picha ya tukio.....Kuna mjinga atakuja HAPA Na kusema tumieni ngazi mfanye mazoezi.....achana Na lift zinalemaz.....
Kakojoe ulaleKumbe hivi vitu vilitengenezwa kwaajili ya wazungu jamani sisi waafrica hatuviwezi!!
Nilikuwa naelekea ofisi fulani ktkt ya jiji la Dar nilikuwa natoka ground to 8th floor sikujua kuwa ilikwama floor ya ngapi ghafla tu nikaona kiza kinene baada ya taa kuzima na joto kali saana kisha baada ya mda kuishiwa nguvu baada ya kukosa oxygen.
Nitaendelea zaidi ngoja leo niishie hapo kwani kuandika uzi huu kumekitonesha kidonda ambacho kilishapoa.
kuamka ukakuta wameshakula[emoji23]
Dhuuuuu aiseeee hiiAcha kabisa lakini wakati mwingine hakuna jinsi fikiria unaenda ghorofa ya 20. Kuna moja nilisikia zile waya ambazo zinaishikilia zilikatika ikiwa na watu ndani basi ikaporomoka kufika chini kuna watu walikufa na wengine kuvunjika miguu.
Mlibaki kufa tuDaah pale Benjamin mkapa tower, nilikuwa nnaelekea gorofa ya 10 TPDC tulivyofika ya 8 ikagoma siyo sababu ya umeme lakini...baada ya kama dakika kumi ikaanza kwenda juu kwa kasi ya ajabu, kufika juu ikashuka chini kwa kasi ya ajabu afu ikapanda tena mpaka gorofa ya 9 kwa speed ile ile, aisee nilijuta kuapanda ile lift kwa Siku hiyo,
Na pia lift za jengo la ushirika la zamani
Hahahaaaa, kwani ushawahi kunasa?mi ndo maana sitakagi hizo mambo, hadi nipande lift labda nishikwe kwa nguvu
that is the worse scenario![emoji17]Acha kabisa lakini wakati mwingine hakuna jinsi fikiria unaenda ghorofa ya 20. Kuna moja nilisikia zile waya ambazo zinaishikilia zilikatika ikiwa na watu ndani basi ikaporomoka kufika chini kuna watu walikufa na wengine kuvunjika miguu.
Kuchanganyikiwa mchezo[emoji23][emoji23][emoji23]Ilinitokea mara moja,kumbe ile lift ina ka tangazo kadogo nje kuwa LIFT MBOVU,mimi sikukaona nikadumbukia ikapanda kidogo nikaona kimyaa,taa zmezima hakuna kinachoendelea giza totoro,nilichofanya ni kuanza kupapasa zilipokuwa butons,yaani kama zali nilichobonyeza ndio kitufe sahihi ikarudi tena chini na mlango ukafunguka.Sikuwa nasikia joto mle ndani ila nilipotoka nikagundua kuwa nimelowa jasho mwili mzima...
Vipi maandamano yenu?Acha kabisa lakini wakati mwingine hakuna jinsi fikiria unaenda ghorofa ya 20. Kuna moja nilisikia zile waya ambazo zinaishikilia zilikatika ikiwa na watu ndani basi ikaporomoka kufika chini kuna watu walikufa na wengine kuvunjika miguu.
wenzetu majuu huko lift yote vioo tupu halafu inawekwa side... yani pembeni kule unakoweza kuona kila kitu..Hahahah Ile Lift ya Jengo la Airtel Sio Rafiki kabisaaaa. Nusu imefunikwa nusu ni vioo, Aaghh halafu ikishuka inashuka kwa speed balaa huku unaona kila kitu. Unatamani kufumba macho Usione lakini macho yanakurudisha Uangalie kidogo, ukiangalia tu Roho inapasuka kama vile umekutana na Wasiojulikana