Taured
JF-Expert Member
- Dec 12, 2010
- 805
- 684
Bila maths Hakuna maisha duniani sasa watz ndo maana tunaambiwa uwezo wetu wa kufikiri ni mdogo sana matumizi ya maths waulize mafundi Ndo utajua umuhimu wake. KKS na KDS zinatumika kila kona mfano ili kujua idadi ya tyles za kwenye chumba mapishi mfn kilo 1 ya Mchele inatosha watu 4 nk