Sitak tena math.

Bila maths Hakuna maisha duniani sasa watz ndo maana tunaambiwa uwezo wetu wa kufikiri ni mdogo sana matumizi ya maths waulize mafundi Ndo utajua umuhimu wake. KKS na KDS zinatumika kila kona mfano ili kujua idadi ya tyles za kwenye chumba mapishi mfn kilo 1 ya Mchele inatosha watu 4 nk
 
tunajua wachache tu mambo hayoo
 
Mleta mada analalamika hesabu hazimsaidii,lakini kawa bingwa wa kupita njia za mkato (anasahau kuwa alisoma hesabu za pembetatu),muda mwingi binadamu anawaza kimfumo wa hesabu,apate hela alipe deni sh ngapi na abakiwe na sh ngapi ili aache sh ngapi ya chakula.Utakimbia hesabu darasani ila utazikuta kwa mkeo atakavyokuwa na matumizi tofauti na kipato chako
 
Kwan kuna mtu hajui majimaji war?, nan asiyejua sexual organs?, hivi nyie tunasoma hayo ili iweje?
Kuna Ufahamu Binadamu Anazaliwa Nao Mtu Hata Kama Hajasoma Darasa Moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…