canali issa
Member
- Feb 20, 2017
- 9
- 5
Tangu nimeanza kazi sijawahi kutumiaa Kigawo Kikubwa cha Shirika(K.K.S) na Kigawe Kidogo cha Shirika(K.D.S)
Sijui shule nilisoma vyanini[emoji20][emoji19][emoji19][emoji19][emoji19] kuchoshana tu...nikikutana na mwalimu wa hili somo ama zangu ama zake!!!
Sijui shule nilisoma vyanini[emoji20][emoji19][emoji19][emoji19][emoji19] kuchoshana tu...nikikutana na mwalimu wa hili somo ama zangu ama zake!!!