Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
Mkuu kabla ya ku comment uwage unasoma vizuriKwani DNob kafariki?
Ninakumbuka wimbo wa 'Elimu Biashara Tutasomaje'
Athari mojawapo ya punyetoKwani DNob kafariki?
Ninakumbuka wimbo wa 'Elimu Biashara Tutasomaje'
Kumbe sijaelewa siyoMkuu kabla ya ku comment uwage unasoma vizuri
Weka wimbo hapa tuusikieKila nikikumbana na wimbo wa Tutakukumbuka wa GK unanikumbusha taswira ya D-Rob (Robert Mwingira).
Nashindwa kuacha kutoa machozi kila nikiusikia wimbo huo.
Nakukumbuka sana brother, 2001 kumbukumbu ambayo itaishi daima maishani mwangu.
Kwa wafuatiliaji wa muziki wa miaka 90 watamkumbuka mwana. Amekuja sana leo mawazoni mwangu. Those were the golden days of our era.
Alale pema peponi, siku moja tutaungana na wapendwa wetu ππΎ.
Wa kizazi hiki umewaacha mbali sana, ulipaswa umuelezee walau kwa ufupi D-Rob ni nani? Alitoa nyimbo gani enzi za uhai wake, alifariki namna gani?Kila nikikumbana na wimbo wa Tutakukumbuka wa GK unanikumbusha taswira ya D-Rob (Robert Mwingira).
Nashindwa kuacha kutoa machozi kila nikiusikia wimbo huo.
Nakukumbuka sana brother, 2001 kumbukumbu ambayo itaishi daima maishani mwangu.
Kwa wafuatiliaji wa muziki wa miaka 90 watamkumbuka mwana. Amekuja sana leo mawazoni mwangu. Those were the golden days of our era.
Alale pema peponi, siku moja tutaungana na wapendwa wetu ππΎ.
Unachanganya madesa sasaKwani DNob kafariki?
Ninakumbuka wimbo wa 'Elimu Biashara Tutasomaje'
Duh nilikua najua Extrovert ni mkulungwa π.D_Rob ndio nan mbona hata simjui
Kweli kabisa ilipaswa kuwa hivyo.Wa kizazi hiki umewaacha mbali sana, ulipaswa umuelezee walau kwa ufupi D-Rob ni nani? Alitoa nyimbo gani enzi za uhai wake, alifariki namna gani?
Anayway, GK alimuenzi vizuri sana, ule wimbo wa Tutakukumbuka Daima Milele umebaki kama alama mojawapo ya nyimbo za maombolezo kutokea BongoFleva
Hahahahahahaha mwamba kakurupukaAthari mojawapo ya punyeto
D RobKwani DNob kafariki?
Ninakumbuka wimbo wa 'Elimu Biashara Tutasomaje'