Sitakaa kumsahau mwana D-Rob

Sitakaa kumsahau mwana D-Rob

Dr Rutagwerera Sr

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2011
Posts
5,809
Reaction score
11,462
Kila nikikumbana na wimbo wa Tutakukumbuka wa GK unanikumbusha taswira ya D-Rob (Robert Mwingira).

Nashindwa kuacha kutoa machozi kila nikiusikia wimbo huo.

Nakukumbuka sana brother, 2001 kumbukumbu ambayo itaishi daima maishani mwangu.

Kwa wafuatiliaji wa muziki wa miaka 90 watamkumbuka mwana. Amekuja sana leo mawazoni mwangu. Those were the golden days of our era.

Alale pema peponi, siku moja tutaungana na wapendwa wetu 🙏🏾.
 
Kila nikikumbana na wimbo wa Tutakukumbuka wa GK unanikumbusha taswira ya D-Rob (Robert Mwingira).

Nashindwa kuacha kutoa machozi kila nikiusikia wimbo huo.

Nakukumbuka sana brother, 2001 kumbukumbu ambayo itaishi daima maishani mwangu.

Kwa wafuatiliaji wa muziki wa miaka 90 watamkumbuka mwana. Amekuja sana leo mawazoni mwangu. Those were the golden days of our era.

Alale pema peponi, siku moja tutaungana na wapendwa wetu 🙏🏾.
Weka wimbo hapa tuusikie
 
Kila nikikumbana na wimbo wa Tutakukumbuka wa GK unanikumbusha taswira ya D-Rob (Robert Mwingira).

Nashindwa kuacha kutoa machozi kila nikiusikia wimbo huo.

Nakukumbuka sana brother, 2001 kumbukumbu ambayo itaishi daima maishani mwangu.

Kwa wafuatiliaji wa muziki wa miaka 90 watamkumbuka mwana. Amekuja sana leo mawazoni mwangu. Those were the golden days of our era.

Alale pema peponi, siku moja tutaungana na wapendwa wetu 🙏🏾.
Wa kizazi hiki umewaacha mbali sana, ulipaswa umuelezee walau kwa ufupi D-Rob ni nani? Alitoa nyimbo gani enzi za uhai wake, alifariki namna gani?

Anayway, GK alimuenzi vizuri sana, ule wimbo wa Tutakukumbuka Daima Milele umebaki kama alama mojawapo ya nyimbo za maombolezo kutokea BongoFleva
 
Wa kizazi hiki umewaacha mbali sana, ulipaswa umuelezee walau kwa ufupi D-Rob ni nani? Alitoa nyimbo gani enzi za uhai wake, alifariki namna gani?

Anayway, GK alimuenzi vizuri sana, ule wimbo wa Tutakukumbuka Daima Milele umebaki kama alama mojawapo ya nyimbo za maombolezo kutokea BongoFleva
Kweli kabisa ilipaswa kuwa hivyo.
Jana amekuja sana mawazoni mwangu.
Dah kama namuona mwana mauti hayana adabu
 
Back
Top Bottom