Sitakaa nilisahau tangazo la CocaCola la mwaka 1995

Sitakaa nilisahau tangazo la CocaCola la mwaka 1995

maishapopote

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2009
Posts
3,408
Reaction score
6,094
Cocacola walitoa tangazo lao mwezi wa December 1995, likiitwa CocaCola Caravan, nilikuwa nimemaliza darasa la saba. Aisee nilivyoliona nilichanganyikiwa, lina uubunifu wa kuanzisha hisia zako hata kama huipendi Christmass.

Tokea mwaka huo CocaCola walilirusha tena mwaka 1998 na nafkiri 1999 ila version wakiupdate wakaacha kulirusha ila mwaka 2007 walilazimika kulirusha baada ya demand kubwa ya watu.

Huwezi kuhisi Christmass imekamilika kama hujaangalia hili tangazo. Cha kufurahisha na watoto wangu wanalipenda sana baada ya kuliangalia hasa ikifika december, maana niliwahadithia.

Naomba Mungu anijalie maisha marefu nije nione na wajukuu zangu wakiliangali, ni tangazo la tofauti kwa kweli.

Nakwenda Moshi tarehe 20 kwa ajili ya sikukuu, Mungu akinijalia, Mungu ambariki sana Mzee Mengi kwa kutuletea Tv ya bure miaka ile ukafanikiwa kuliona lile tangazo huku tukinywa CocaCola bora kuliko zote kwa miaka 20 sasa Afrika nzima kutoka kiwanda chake cha Bonite Bottlers Ltd.

Wadau wa It mnisaidie kuliweka tangazo hapa kwa faida ya wengine, ila lipo YouTube, andika tu "Holiday is coming" au "CocaCola Caravan" la mwaka 1995, ndiyo bora.

Santeni.
MP
Update nimeweka hapo liangalieni...ila nadhani hili ni la 1999 la 1995 was the best halisemi santa is coming linasema holiday is coming

 
Cocacola walitoa tangazo lao mwezi wa December 1995, likiitwa CocaCola Caravan, nilikuwa nimemaliza darasa la saba. Aisee nilivyoliona nilichanganyikiwa, lina uubunifu wa kuanzisha hisia zako hata kama huipendi Christmass.

Tokea mwaka huo CocaCola walilirusha tena mwaka 1998 na nafkiri 1999 ila version wakiupdate wakaacha kulirusha ila mwaka 2007 walilazimika kulirusha baada ya demand kubwa ya watu.

Huwezi kuhisi Christmass imekamilika kama hujaangalia hili tangazo. Cha kufurahisha na watoto wangu wanalipenda sana baada ya kuliangalia hasa ikifika december, maana niliwahadithia.

Naomba Mungu anijalie maisha marefu nije nione na wajukuu zangu wakiliangali, ni tangazo la tofauti kwa kweli.

Nakwenda Moshi tarehe 20 kwa ajili ya sikukuu, Mungu akinijalia, Mungu ambariki sana Mzee Mengi kwa kutuletea Tv ya bure miaka ile ukafanikiwa kuliona lile tangazo huku tukinywa CocaCola bora kuliko zote kwa miaka 20 sasa Afrika nzima kutoka kiwanda chake cha Bonite Bottlers Ltd.

Wadau wa It mnisaidie kuliweka tangazo hapa kwa faida ya wengine, ila lipo YouTube, andika tu "Holiday is coming" au "CocaCola Caravan" la mwaka 1995, ndiyo bora.

Santeni.
MP
Update nimeweka hapo liangalieni...ila nadhani hili ni la 1999 la 1995 was the best halisemi santa is coming linasema holiday is coming

Kuna lile la Pepsi lilijuisha mastaa wengi sana wa mpira ktk arena kama za wagiriki nafkir ninla 2000s nalo was the best.

Pia kuna tangazo la DTV sijui CTN Kun kizee Kiko na bakora kinyeyuka lilikuwa linahusu kama mambo ya logistics hivi halafu kuna la Knights Supports Kun katoto kamelala halafu inatokea kama mwizi anabonyeza alarm ya emergence
 
Hili tangazo ni kiboko. Nilienda YouTube nikalikuta. Zile comment za wazungu utadhani na wao walikuwa wanaishi bongo na waliliona tangazo kupitia ITV.

Maana wanachoongea na walicho experience ni kile kile. Wanaongelea namna Christmas ya mwaka 1998 na ya 1999 zilikuwa ni best of Christmas seasons ever.

Tangazo lilitengenezwa kiufundi sana na idea ilikuwa bomba sana na ilikuwa ina amsha spirit ya Christmas balaa. Yale mataa kila kona, yale ile convoy ya malori yenye mataa na ule wimbo was bonge la combination. Yaani team ambayo iliproduce ile advert is one of the best producing teams ever.

Nikalipost kwenye status, simu ilijaa comments za status kila mtu lile tangazo lilimsisimua upya na kumkumbusha miaka ile. Aiseeee.
 
Back
Top Bottom