Sitakaa nilisahau tangazo la CocaCola la mwaka 1995

Hakuna Kama revola.
Ebu tueleze Siri ya mafanikio yako.
Sio Siri ni revola.
Revola peke yake.
Ndio kwani marashi yake ni tulivu na uniweka fresh mchana kutwaaa
 
Ndo nimekuja kumjua miaka hii kwamba ni yeye nilikuwa simjui ila Hilo tangazo maneno yake yote yapo kichwani.na uwa siyasahau
She was our favourite in that add...halafu huyu dada alikuwa mzuri...ukitaka kumjua kumfananisha vizuri meangalie Flaviana alivyo ndivyo alivyokuwa Miriam
 
Umenipa holiday vibes na kumbukumbu nzuri sana
Heri ya msimu wa siku kuu 🥳
🥳
 
Nashukurubsana nimelikumbuka
 
Je mlikuja kupata mbuzi ama vip
 
Umenikumbusha mbali sana
Swala la kwenda kanisani usku nilikuwa nalipenda snaa nalio kilio kikuuu saanaa nikiachwa na masister kwenda church usku nilikuwa napata mzukaa mkali mno kipindi cha chrismass lzm nitupie kiyltu kipyaa cha viatu na pamba kali

Siyo sas hv hkn mzuka wa chrismass eti watu wanjiondokeea kazini siku ya chrismass
 
Yeah speaking of the best Cocacola Adverts kuna hilo

Kuna lile la I love you Africa wimbo wa Steve Kekana

Na kuna lile la Hey Brother wimbo wa Avicii, la wale Brothers ambao mkubwa alikuwa anapenda sana kumchokoza mdogo wake ila mwishoni alimuokoa na wale bullies, kwangu those are the best
 
Mimi natafuta lile la Tusker ambalo nadhani TID aliimba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…