Sitaki affiliation yoyote na AZAM FC, ushabiki nimeacha na jezi nimechoma

Sitaki affiliation yoyote na AZAM FC, ushabiki nimeacha na jezi nimechoma

💀 shabiki kama wewe siwezi jibu.

hata macho yako ayaoni, what's fair what's not fair.
ukweli bado utaukataa.

azam fc ni timu ya kupuuzwa, useless.

move on. tuishie hapo
Pole sanaa nyuma mwiko...unakuja na gear zako Ili tusikupopoe...kajipange upya...hujawahi kuwa mwana AZAM
 
Umeliwa pesa ngapi kwenye kamari (betting)?
nope. mimi nilikuwa close na azam fc sana. jana ndo nimejua michezo yao.

azam na simba wanashirikiana kuipa simba ushindi. tena watu wapo in day to day activities za club,

I stopped there. nisije ongea mengi.
 
cheki thread zangu, hadi kocha wa Azam fc mimi ndo nine leak news zake,

amna mchambuzi alikuwa anajua ni nani
Kwa habari za kocha ni kweli uliweka hapa JF. Hongera ila sijajua nini shida mkuu hadi kufikia uamuzi huo?

Za ndani hizo zinasemaje?
 
Wee sema kweli, naona kama vile ni diki jipya niwashtue black hat professionals tuingie mzigoni😁
weka pesa kwa azam at ur own risk, 😂😂. wao wa nawaza mengine shabiki unaweka. kuna kitu nimechelewa tu kujua. ningejua ninge bet nyumba .
 
💀 shabiki kama wewe siwezi jibu.

hata macho yako ayaoni, what's fair what's not fair.
ukweli bado utaukataa.

azam fc ni timu ya kupuuzwa, useless.

move on. tuishie hapo
Yani watoe jasho kwa geresha...acha kupanick bro...
Wangekua ni timu yako ya utopolo usingesema kitu...
 
nope. mimi nilikuwa close na azam fc sana. jana ndo nimejua michezo yao.

azam na simba wanashirikiana kuipa simba ushindi. tena watu wapo in day to day activities za club,

I stopped there. nisije ongea mengi.
Mbona Azam wamelalamika magoli ni offside na oicha wameonesha?
 
nilikuwa mtu wa kutoa za ndani, za azam fc. kama shabiki nimejitoa ushabiki wa azam fc,

2. jezi nimechoma, anything azam fc, kama NILIPOST Moderator futa.

3. sitaki kuhusishwa na chochote cha azam fc. chochote, nipo close na watu wa ndani ya azam fc. group nimetoka, sitaki kusikia hata mechi azam fc

4. kama kuna mtu niligombana nae kisa mpira au azam fc, am sorry. hii timu ni ya wajinga tu.

5, ukiwa shabiki wa azam fc automatically ni mjinga, matokeo yao wanapanga ghettoni wewe unashabikia huku, timu ipo kuuza unga na ukwaju. wew shabiki tafuta timu ushabikie.
hata nikilipwa siwezi tena shabikia azam fc,

6. sina tena heshima na azam fc, ni useless club, hata wafanye vipi, ni club ya kupuuzwa, siji tena kulipia derby ya azam fc na timu za kariakoo.

AZAM FC NI TIMU YA KUPUUZWA.
Salamaleko😊
 
Hakuna cha kuuza mechi wala nn! Azam fc timu yangu tumejaza wachezaji wengi wa kiwango cha kawaida (ordinary players) hatuna wachezaji wa ku change game huo ndio ukweli
 
nilikuwa mtu wa kutoa za ndani, za azam fc. kama shabiki nimejitoa ushabiki wa azam fc,

2. jezi nimechoma, anything azam fc, kama NILIPOST Moderator futa.

3. sitaki kuhusishwa na chochote cha azam fc. chochote, nipo close na watu wa ndani ya azam fc. group nimetoka, sitaki kusikia hata mechi azam fc

4. kama kuna mtu niligombana nae kisa mpira au azam fc, am sorry. hii timu ni ya wajinga tu.

5, ukiwa shabiki wa azam fc automatically ni mjinga, matokeo yao wanapanga ghettoni wewe unashabikia huku, timu ipo kuuza unga na ukwaju. wew shabiki tafuta timu ushabikie.
hata nikilipwa siwezi tena shabikia azam fc,

6. sina tena heshima na azam fc, ni useless club, hata wafanye vipi, ni club ya kupuuzwa, siji tena kulipia derby ya azam fc na timu za kariakoo.

AZAM FC NI TIMU YA KUPUUZWA.
Tokea lini ukawa Azam ,ww Kolo FC.
 
nilikuwa mtu wa kutoa za ndani, za azam fc. kama shabiki nimejitoa ushabiki wa azam fc,

2. jezi nimechoma, anything azam fc, kama NILIPOST Moderator futa.

3. sitaki kuhusishwa na chochote cha azam fc. chochote, nipo close na watu wa ndani ya azam fc. group nimetoka, sitaki kusikia hata mechi azam fc

4. kama kuna mtu niligombana nae kisa mpira au azam fc, am sorry. hii timu ni ya wajinga tu.

5, ukiwa shabiki wa azam fc automatically ni mjinga, matokeo yao wanapanga ghettoni wewe unashabikia huku, timu ipo kuuza unga na ukwaju. wew shabiki tafuta timu ushabikie.
hata nikilipwa siwezi tena shabikia azam fc,

6. sina tena heshima na azam fc, ni useless club, hata wafanye vipi, ni club ya kupuuzwa, siji tena kulipia derby ya azam fc na timu za kariakoo.

AZAM FC NI TIMU YA KUPUUZWA.
Ilivyofungwa na APR ilipsnga kumbe
 
yanga au simba.

soon nita chagua mmoja. azam FC sio club . uwezi kuwa shabiki wa club matokeo wanapanga ghettoni
Azam sio timu Bakhressa aturudishie ile Azam ya kipindi kile ilichukua mpaka ubingwa hawa madogo namna gan speed hawana sijui wanakula sana ice cream za ukwaju yaan fitness zero mikimbio sifuri kasi ya kusukuma gozi ziro hawakabi pass wanapoteza ovyo wakishika mpira muda mfupi wanapoteza Bakhressa tufanyie mpango ufumue fumue hii timu mzeewetu mashabiki tunapoteza imani nayo kabisa azam sio ya kufungwa na makolo vile yaan unaona kabisa wanaacha wafungwe sasa sijui wamenyimwa posho au namna gani hawachezi kufia uwanjani wanacheza mradi tu kucheza assist ziro mitupio sifuri kuzuia ball sifuri
 
Back
Top Bottom